12 Marook
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 441
- 331
Habari zenu wakuu? Natumai mko salama
Wakuu nimekuja apa kuomba msaada maana sijui pakuanzia
Kuna demu flani ivi namuelewaga zana toka enzi izo ila sidhani kama ntapataga bahati ata yakuongea nae sekunde ata mbili
Rose Ndauka popote ulipo ambapo ujumbe huu unafika naomba utambuwe ya kuwa mimi ni chizi juu yako
Wakuu nimekuja apa kuomba msaada maana sijui pakuanzia
Kuna demu flani ivi namuelewaga zana toka enzi izo ila sidhani kama ntapataga bahati ata yakuongea nae sekunde ata mbili
Rose Ndauka popote ulipo ambapo ujumbe huu unafika naomba utambuwe ya kuwa mimi ni chizi juu yako