Mhhhh, huyu mwenzetu kavurugwa. Naona aliolewa kipindi cha Ramadhani na sasa anaimba wimbo wa Harmonize niko Single Again.Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo.
Mi nampenda Mungu tu .
Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu,
Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss .
Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea kunipondea ila next year hesabu mie ni married woman
ukuje huku nikupoze na kiepe yai



Wee jamaa nikisoma comment zako nawaza jins ulivo km nakuona vileSidhani lsio Kwa sisi ambao tunatak kuanzisha familia nafikiri hapa sio sehemu salama sana tukutane huko mitaani yaisheJapo walio serious wapo ila nao hawaamini mapenz ya humu. ..ivo kumpata MTU bora ni ngumu
Kuna mambo balaa humuIla jamii forums![]()

Watu wanateseka na mapenz mno😀😀nduguzetu tutawapotezaKuna mambo balaa humu![]()
Umebaki Wewe TU, unajifanya mgumuWatu wanateseka na mapenz mnonduguzetu tutawapoteza

Ila kwanini ukubali kuumizwa 😂Inaumiza kweli na shida ni hatufahamiani ila kwakweli humu watu wanaumizana sana
Yeah sure,hapa ni wastage of timeSidhani lsio Kwa sisi ambao tunatak kuanzisha familia nafikiri hapa sio sehemu salama sana tukutane huko mitaani yaishe
Kiuno chaniuma kweli jioni hii,usiende kwa mama j Leo basUmebaki Wewe TU, unajifanya mgumu![]()
Umebaki Wewe TU, unajifanya mgumu![]()
Mbona mwakan n mbali sana
😂😂😂ndo uokoe jahaz sasa.....Mbona mwakan n mbali sana
Ana mjeruman wake huko😂😂😂ndo uokoe jahaz sasa.....
Si ndo hapo kwann uumie Kwa mtu hujamkosea yeye kaamua hakupendi hapo mtu unakosa gani mm ndo Huwa naongezekaga na uzito 😂😂😂Ila kwanini ukubali kuumizwa 😂
Kabisahumu hutakiwi kuwa na mpenz cute....utaumia kilasiku