Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,917
- 31,770
Imebidi nicheke😀😀😀nimeangalia na kitambi yangu hapaLabda bidada alivaa belt wakati wa mtongozo date 😂😂
Imebidi nicheke😀😀😀nimeangalia na kitambi yangu hapaLabda bidada alivaa belt wakati wa mtongozo date 😂😂
Tena awaombe radhi akiwa amepiga magoti na kusema: "Nimekosa mimi, nimekosa mimi, nimekosa sana"Dah inamaana ulivokua namtongoza ulikua huoni kama ni kibonge? Muache atapata atapenda na ukibonge wake usitafute excuse ya kuja kumtesa mbeleni, katafute flat tummy huko wapo kibao [emoji19][emoji19]
Umetukosea sana vibonge
Ujue Kuna tofauti Kati ya Mwanamke Mnene na Mwanamke mwenye TakoNimekutana na mwanamke huyu msomi ana tabia njema , anajua mapenzi, anajua kupika, ana sura nzuri, ana umbo zuri akivaa nguo,
Ila chibonge, tumbo ni kubwa nyama uzembe , nishaurini mana hakuna mkamilifu.
Watu wa JF mnavuta sana bhangi.Siku hizi mafuta yapo ghari sana, mlete tumkamue mafuta
Yah ana tako piaUmesema anaumbo zuri, akivaa nguo anapendeza at the same time tumbo kubwa jamani mvumilie mwenzio
Sana na sio mvivu kama hao vimbaumbauKumbe vibonge nao wanajua mapenz