scorpion girl
Senior Member
- Oct 19, 2012
- 173
- 95
mimi naijua dawa ya huyo mumeo ila uni pm kama upo serious laa sivyo mto utakua ndio mumeo machozi ndio rafiki yako hakuna dawa si kikao wala ushauri maana kama hakusikii wewe hakuna atakae msikia hata mama yake mzazi atamjibu sawa mama alafu ataendelea huko nje