Nampenda mme wangu lakini hataki kuyapokea mapenzi yangu nifanyeje?

condorezaraisi

JF-Expert Member
Sep 4, 2011
225
116
Pole na kazi dadaangu

Mie ni mama wa watoto wawili wakike mmoja yuko 6 yrs na mmoja 1 yrs nimefunga ndoa na mme wangi miaka saba iliyopita,ninafanya kazi ,najipenda naipenda family yangu pia nampenda sana mme wangu na nimekuwa nikimuonyesha kwa vitendo kuwa nampenda
Tatizo lililonifanya nikuandikie ni hili ,baada ya miaka miwili ya ndoa yetu mme wangu amekuwa busy na mambo yake ,kurudi nyumbani usiku wa manane amelewa,na akiwa huko alipoenda mpaka usiku wa manane nikimpigia simu ananiambia anapajua nyumbani ..mwenzenu silali nakosa usingizi mpaka anaporudi nyumbani ndio naweza kupata usingizi japo kidogo ,na akiwa mbali nikimtumia meseji za kumwambia mme wangu nakupenda,mme wangu nakumiss ,nachojibu ni najua au asante ..Nashangaa mwenzenu maana nachotengemea ni nakupenda pia au nakumiss pia ,lakini yeye jibu ni "najua" ,Pia usipompigia saa nyingine usitegee yeye akupigie Linapokuja swala la matumizi ya ndani mpaka nimuombe hawezi sema huu mwisho wa mwezi nitoe hela kwa ajili ya matumizi ya family ,nakuomba omba sometimes inakuwa tabu ni mtu gani haya mtu anakuwa hajui mahitaji ya familia yake
Nimekuwa mpweke mpaka naona kama nadhulumiwa penzi langu ,natamani kusikia neno la nakumiss ,nakupenda pia .mme wangu ananifanya nianze kuwa mawazo mabaya
Nifanyeje wapenzi wangu naomba msaada wenu kimawazo
Muathirika
Pls usiweke email yangu

Ushauri wangu

Pole sana dada haya yote ni majatribu ya ndoa jaribu kuwashirikisha wasimamizi wa harusi yenu wamwite mkae na kutoa kero zinazokusumbua..inaweza kuwa msaada
***********************************************
source:JanetFashionandStyles: Dear JFS:Nampenda mme wangu lakini hataki kuyapokea mapenzi yangu nifanyeje?

Wanaume mnataka mpendweje ???:A S confused::A S confused:
 
Pole Dada and this is difficult, before I shauri chochote .... hiki ni kitu kimetokea sasa au toka muanze ishi pamoja?
 
Pole sana dada,

Nakushauri usiwaze mambo mabaya kama ya usaliti ktk ndoa.Ndoa nyingi ziko hivyo na watu wengi hawajaoa / kuolewa na watu wanaoendana nao.Kitu cha msingi muweke chini mumeo na ongea nae kwa utaratibu nadhani atakuelewa.Mungu amempa mwanamke sauti ya upole, ngozi nyororo, nywele nzuri, etc vitumie ktk ushawishi.Mpe bao kali halafu tumbukiza na ushawishi.Zaidi ya yote fanya uinjilisti kwa mumeo mshawishi aache pombe kabisa maana mwisho wa pombe si mzuri na ndio maana wakristo na waislamu safi wanaipinga pombe kwa asilimia mia.Mungu akutangulie ktk maombi yako unapoenda kumbadilisha mumeo.Amina.
 
Pole na kazi dadaangu

Mie ni mama wa watoto wawili wakike mmoja yuko 6 yrs na mmoja 1 yrs nimefunga ndoa na mme wangi miaka saba iliyopita,ninafanya kazi ,najipenda naipenda family yangu pia nampenda sana mme wangu na nimekuwa nikimuonyesha kwa vitendo kuwa nampenda
Tatizo lililonifanya nikuandikie ni hili ,baada ya miaka miwili ya ndoa yetu mme wangu amekuwa busy na mambo yake ,kurudi nyumbani usiku wa manane amelewa,na akiwa huko alipoenda mpaka usiku wa manane nikimpigia simu ananiambia anapajua nyumbani ..mwenzenu silali nakosa usingizi mpaka anaporudi nyumbani ndio naweza kupata usingizi japo kidogo ,na akiwa mbali nikimtumia meseji za kumwambia mme wangu nakupenda,mme wangu nakumiss ,nachojibu ni najua au asante ..Nashangaa mwenzenu maana nachotengemea ni nakupenda pia au nakumiss pia ,lakini yeye jibu ni "najua" ,Pia usipompigia saa nyingine usitegee yeye akupigie Linapokuja swala la matumizi ya ndani mpaka nimuombe hawezi sema huu mwisho wa mwezi nitoe hela kwa ajili ya matumizi ya family ,nakuomba omba sometimes inakuwa tabu ni mtu gani haya mtu anakuwa hajui mahitaji ya familia yake
Nimekuwa mpweke mpaka naona kama nadhulumiwa penzi langu ,natamani kusikia neno la nakumiss ,nakupenda pia .mme wangu ananifanya nianze kuwa mawazo mabaya
Nifanyeje wapenzi wangu naomba msaada wenu kimawazo
Muathirika
Pls usiweke email yangu

Ushauri wangu

Pole sana dada haya yote ni majatribu ya ndoa jaribu kuwashirikisha wasimamizi wa harusi yenu wamwite mkae na kutoa kero zinazokusumbua..inaweza kuwa msaada
***********************************************
source:JanetFashionandStyles: Dear JFS:Nampenda mme wangu lakini hataki kuyapokea mapenzi yangu nifanyeje?

Wanaume mnataka mpendweje ???:A S confused::A S confused:
Hiyo ndio ndoa mama,wakati wa harusi naona ulimuona mama analia ukajua analia kwa furaha kuwa unaolewa,ukweli ni kuwa alikuwa anakusikitikia akijua mwanae unakwenda kukutana na mambo magumu sana katika maisha ya dunia hii.Kila mtu na aina yake,matatizo hayafanani hakuna formula kwamba ukimuiga fulani unaweza kutatua hayo matatizo yako,hapo kinachotakiwa ni uvumilivu na kumuomba Mungu ili ayaepushe hayo,PLUS,wewe mwenyewe kuendelea na juhudi zako binafsi za kuhakikisha huyo shemeji anatulia na kuacha mapepe.
 
yanapoanza ni matamu kama asali kisha huanza kuwa kama sukari kisha kama chungwa kisha limao kisha shubiri mapenzi haya jamani pole mdada thats all i can say coz kubadilika is wihin mtu mwenyewe pale atakapoona kuna umuhimu wa kufanya hivyo pasipo kusukumwa na mtu yeyote,so kwa sasa avute subira tu time gives answers.
 
Pole na kazi dadaangu

Mie ni mama wa watoto wawili wakike mmoja yuko 6 yrs na mmoja 1 yrs nimefunga ndoa na mme wangi miaka saba iliyopita,ninafanya kazi ,najipenda naipenda family yangu pia nampenda sana mme wangu na nimekuwa nikimuonyesha kwa vitendo kuwa nampenda
Tatizo lililonifanya nikuandikie ni hili ,baada ya miaka miwili ya ndoa yetu mme wangu amekuwa busy na mambo yake ,kurudi nyumbani usiku wa manane amelewa,na akiwa huko alipoenda mpaka usiku wa manane nikimpigia simu ananiambia anapajua nyumbani ..mwenzenu silali nakosa usingizi mpaka anaporudi nyumbani ndio naweza kupata usingizi japo kidogo ,na akiwa mbali nikimtumia meseji za kumwambia mme wangu nakupenda,mme wangu nakumiss ,nachojibu ni najua au asante ..Nashangaa mwenzenu maana nachotengemea ni nakupenda pia au nakumiss pia ,lakini yeye jibu ni "najua" ,Pia usipompigia saa nyingine usitegee yeye akupigie Linapokuja swala la matumizi ya ndani mpaka nimuombe hawezi sema huu mwisho wa mwezi nitoe hela kwa ajili ya matumizi ya family ,nakuomba omba sometimes inakuwa tabu ni mtu gani haya mtu anakuwa hajui mahitaji ya familia yake
Nimekuwa mpweke mpaka naona kama nadhulumiwa penzi langu ,natamani kusikia neno la nakumiss ,nakupenda pia .mme wangu ananifanya nianze kuwa mawazo mabaya
Nifanyeje wapenzi wangu naomba msaada wenu kimawazo
Muathirika
Pls usiweke email yangu

Ushauri wangu

Pole sana dada haya yote ni majatribu ya ndoa jaribu kuwashirikisha wasimamizi wa harusi yenu wamwite mkae na kutoa kero zinazokusumbua..inaweza kuwa msaada
***********************************************
source:JanetFashionandStyles: Dear JFS:Nampenda mme wangu lakini hataki kuyapokea mapenzi yangu nifanyeje?

Wanaume mnataka mpendweje ???:A S confused::A S confused:

Principle ni moja kwamba; Mapenzi yana undulating characteristics. Yakipanda sana kwa mmoja, kwa mwingine yanashuka, na yakishuka kwa mwingine, inabid yapande kwa mwenzake nk...

Kuna muvi moja ya kinigeria... ngoja nikiikumbuka jina nitakuambia ukaiangalie... utapata majibu ya hili tatizo lako...
 
^^
UKIONA HIVYO ujue ndoa imefika kwenye chorus... Na watoto wanabaki kitanzi chako cha kutokuwa huru.
Mke na mume huumbana kila siku katika ndoa zao. Lakini nguvu ya mwanamke kumbadili mume ni kubwa sana.
Badilika...Mshirikishe MUNGU
^^
 
unaposema unawaza mawazo mabaya una maana unataka kutafuta watakaokuambia 'nakupenda pia', 'nakumiss pia'? huo ndo msalaba wako. mwombe Mungu akupe uvumilivu na busara. pia amponye mumeo na hiyo tabia mbaya. pole sana!
 
Dawa ya moto ni moto,tafuta kijana atakaye kupa mambo hadimu zaidi nauhakika moyo wko utapoa kiasi furani. NB csemi muachane ila nasema tafuta backup wa mapenzi
 
Back
Top Bottom