Da Asia
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 731
- 819
enzi za ujana niliwahi kua na kituko cha aina hii, mpaka alidirika kuniambia eti kabila letu hatuna cha undugu. nilimbwaga mapema kabla ya saa 12 jioni. alibaki mdomo wazi maana hakuamini nilipomwambia its over na nimeshindwa sababu ya mivivu isiyokua na afya.