Nampenda lakini sina maisha

Kila mja na riziki yake.chukua MZIGO huo.
Ndege hawalimi lakini wanakula.
Cha msingi.mtafutie chumba Cha miezi 3.
Na kigodoro aanze kuishi.
Wakati unazunguka kutafata dili.
Ukimuacha aondoke ataenda kuchukuliwa na wengine.
"Jobless nayo ni kazi iheshimiwe"
 
Mueleze mzazi wako anaekulisha habari hii kama ulivyotueleza sie. Atakushauri cha kufanya.
Uzuri nilimshirikisha na akaniambia kwamba ungekua na Kazi ungekaa nae hamna shida lakini kwa Sasa utamtesa mtoto wa watu, Baadae anaweza akashawishika na watu wengine ukaumia zaidi. Lakini mwisho akaniachie niamue mwenyewe
 
Kama unakitanda na godoro Apo mchawi Ni ela ya Kodi tu issue ya chakula hua siyo sababu yamtu kuacha kuoa ukizingatia wewe na uyo Dem Amna penzi la mashaka .. haya Maisha ayana formula

Kama una 27 years now unaweza subutu kuoa mahana ukisubiri Maisha yawe poa utajikuta una turn 35 bila kua na stable financial .. ushauri wangu kilakitu nikujarib just try ukishindwa mungu atajua .. uyo Dem akirudi kwao .. kumrudisha Tena siyo raisi ... kwakua Kuna morari itashuka Sana juu yake then mtapotezeana kizembe..

Ungekuw na umbri chini ya 25 ningekuambia mtafutie nauli arudi but iyo over 25 years Kama unataka kua mwanaume halisi jipige kifua usiogope Kama kweli ni mwanamke ulie dhibitisha anasifa zote zakua mke ..wew weka ndani

Tafuta watu wakusapoti kweny Kodi af Anza mwaka ukiwa mwanaume mpya kabsa .. mungu atakuona tu ..
 
Kama unakitanda na godoro Apo mchawi Ni ela ya Kodi tu issue ya chakula hua siyo sababu yamtu kuacha kuoa ukizingatia wewe na uyo Dem Amna penzi la mashaka .. haya Maisha ayana formula

Kama una 27 years now unaweza subutu kuoa mahana ukisubiri Maisha yawe poa utajikuta una turn 35 bila kua na stable financial .. ushauri wangu kilakitu nikujarib just try ukishindwa mungu atajua .. uyo Dem akirudi kwao .. kumrudisha Tena siyo raisi ... kwakua Kuna morari itashuka Sana juu yake then mtapotezeana kizembe..

Ungekuw na umbri chini ya 25 ningekuambia mtafutie nauli arudi but iyo over 25 years Kama unataka kua mwanaume halisi jipige kifua usiogope Kama kweli ni mwanamke ulie dhibitisha anasifa zote zakua mke ..wew weka ndani

Tafuta watu wakusapoti kweny Kodi af Anza mwaka ukiwa mwanaume mpya kabsa .. mungu atakuona tu ..
Ameena
 
Bro inshu n mtonyo tu hapo, sisi tuliokwisha kuoa tunafahamu kuwa mapenzi yakweli yapo lakini kwenye uhakika wa maisha. Kama mtu huna pesa mapenzi pia hupungua
Sikia tafuta pesa wanawake wa kuoa wapo wengi Sana tena wenye mapenzi ya dhati inshu n matunzo tu.
Mpandishe gari binti wa watu arudi kwao kisha ifanye hii kuwa changamoto ya kupambana kiume ili siku ingine usikose kile ukipendacho kwa kukosa pesa
 
Bro inshu n mtonyo tu hapo, sisi tuliokwisha kuoa tunafahamu kuwa mapenzi yakweli yapo lakini kwenye uhakika wa maisha. Kama mtu huna pesa mapenzi pia hupungua
Sikia tafuta pesa wanawake wa kuoa wapo wengi Sana tena wenye mapenzi ya dhati inshu n matunzo tu.
Mpandishe gari binti wa watu arudi kwao kisha ifanye hii kuwa changamoto ya kupambana kiume ili siku ingine usikose kile ukipendacho kwa kukosa pesa
Appreciate Brother
 
Wakuu Habari za muda huu, niende moja kwa moja kwenye mada.

Hii inanihusu Mimi mwenyewe na hapa Nawaza na kuwazua na sipati jibu sahihi, Nachanganyikiwa.

Mimi Ni kijana mwenye miaka 26, Elimu yangu Ni kidato Cha Sita na pia nilisoma Certificate in Clearing and Forwarding, Naishi Dar kwa Wazazi Ila nakaa chumba Cha nje Cha Peke angu,

Kwa muda Sasa nilikua nikitamani kuwa na familia, Yani mke na mtoto, ukizingatia rafiki zangu karibu wengi Wana maisha Yao na familia zao, niliwahi kuajiriwa lakini kwa Sasa Sina Kazi ya uhakika nadandia tu mishe yeyote itakayokuja mbele yangu.

Sasa Kuna huyu binti, mtoto wa Kanda ya ziwa, mzuri, binti mdogo miaka 20(Asomi) alikua akifanya Kazi za usaidizi za ndani, Muuni nikamuelewa nikaanzisha mahusiano nae, baada ya miezi kadhaa mwajiri wake akayumba Kiuchumi na kumuachisha Kazi.

Binti Hana ndugu mjini, kwao Ni mbali na maisha ya kwao pia wanamuangalia yeye ndio mwokozi wao, Kimsingi binti ananipenda na Mimi pia Nampenda na ndio msichana ninaetamani kuishi nae na kutengeneza familia.

Tatizo linakuja hapa, Mimi Jobless, kula kwa kengele japo sio kila siku kwasababu nikiwa na mishe zangu napenda kujitegemea kuliko kusumbua home, huyu mtoto wa watu nataka kumsaidia, nataka asiwe mbali na Mimi kusudi Mambo yangu yaki tiki niishi nae.

Kwa Sasa nimemuombea hifadhi kwa Dada yangu japo ya siku kadhaa na tayari Nina siku tano tu mbele za kujua hatma yake.

Nawaza nifanye Nini?? Nimtafutie nauli arudi kwao?? Nikae nae kibishi, atakula Nini? Ana mahitaji mtoto wa kike na Mimi Ni hohe have?? Naomba ushauri wakuu.
Natanguliza Shukrani.
Dar viwanda ni vingi nenda viwandani kapige mishe kuna sehem dar vyumba vya kupanga bei rahisi tu ishi nae ndyo akili itakukaa sawa
 
Mkuu tusiingiliane kweny mambo ya msingii...mimi nishabook tayar
Haina noma mkuu we si upo Shy Town hapo atapita kukupa hai tu alafu anakuja directly huku Mwanza, Mecco ndiyo kwao nshamjua tayari mtoa mada tusha bargain nae..
 
Shida inaweza kua moja (kama ndo binti wa kwanza kumpenda ) baadae mambo yakiwa mengi unaanza kusema yanini nilikurupukia hili swala,
Ushauri
Kama unahisi sio mihemko inakusukuma kwenye hili swala kaza moyo umchukue,ila kama ujana ndo umekuanza fuata ushauri uliopewa wa kumtafutia nauli arudi kwao kwanza ukiendelea kupambana na kutathmini je ni kweli nilitaka kuishi nae'
 
Back
Top Bottom