Nampenda lakini hanitaki sijui nifanyaje

Nampenda lakini hanitaki sijui nifanyaje

Kaka pole sana.Kama umejitahd kwa muda mref bla mafanikio bas uyo dada hakupendi.nakushauri upotezee kama alikua anakutest ukmpotezea ataktafta yeye.ila ukiona kimya basi akupend na hakuhtaj.mapenzi hayalazimishwi kakangu,tulia utampata ataekupenda kwa dhat.

ushauli wako umenigusa na nitauntendea kazi, kwani hata mm nauhusika.. "Nampenda hanipendi"
 
Yani ww ndugu kama mimi kuna mtoto ananisumbua mbaya
 
Kiukweli kuna dada anatesa sana roho yangu na ninahisi kupoteza matumaini ya kuishi.
Ni mara chache sana kwa mutu kutokukata kwa kitu anachokihitaji lakini kwangu mimi nahisi kukata tamaa kabisa kwani jitihada zangu zinaelekea kugonga mwamba kwani furaha ya moyo wangu inapotea kwa huyu dada kuisumbua nafsi yangu.
Je ni ipi suluhu hasa kwa mtu unayeonesha upendo wa dhati na anakukataa kabisa

bado hujafikia umri wewe!

lo mwanaume wa ukwee hawezi eti kupoteza tumaini la kuishi kisa kijidemu cha kitaa.

we ngoja ukikua utakuja gundua kwamba wala hukumpenda kama unavyodhani, its simply crash tu.

anyway, mdogo wangu tafuta kitu cha kukuweka busy kama hauko kazini au darasani kwa mfano jichanganye na wenzako

ukacheki ball, piga stori and try to laugh as much as you can kupitia comedy au stories tu za maisha like siasa etc.

pia jipe raha kwenye mitandao ya kijamii kuna vitimbi daily utajikuta unamsahau na akiri yako inajikita kwenye issue nyingine, taratibuuu utaniambia utakavomsahau, it takes time lakini.
 
Kama vipi usikalifishe nafsi, tafuta ghorofa refu kidogo jiachie, kwa nini uishi bila amani bwana.
 
tatizo la kua hivo ni kufuatilia demu moja na ukimkosa utaumia xana kuliko m2 mwenye waschana wawili hata mmoja akigoma haumii jinsi uumiavo wewe, tatizo mnakua na demu mmoja kama wachungaji. tafakari chukua hatua.
 
unataka usaidiwe nini kama hakupendi na amekuonesha hakupendi kwa nini una lazimimisha? hivi kwa nini mnapenda kudanganywa?
 
Sema halow doctor kifimbo,
anaongeza nguvu za kiume,anamvuta aliye mbali,anaongeza mvuto,khaaaa hawa jamaa hawashindwi kitu kupitia matangazo yao inaelekea wanaweza kuunganisha hata vikojoleo kwa watu walio mbali.
 
Acha nae....kama anakupenda ataanza kukutafuta mwenyewe.Mapenz hayalazimishw......jiamini!
 
Badili mawazo mkuu, usiwe king'ang'anizi kwake hujui anakuepushia nini. Wanawake wapo wengi ni wewe tu na roho yako.
 
Sasa mbona hizo statistics ulizotoa zinahalalisha jama kuendeleza kubembelezana. Houni kuwa unamaana kuwa wanawake ni pungufu. Samahani lakini kama nimekuona ....
Maana yake wapo wengi sawasawa na Daladala km umelikosa panda lingine hata la kwangu mwambie aje achukue
Huyo hajakua hivi vitu vinafanana vyote (ZAFANANA BUS SERVICE) yeye panda ZUBERI
Nyama ni ileile ingie Bucha lingine wampimie apunguze kijeba cha ROHO
Tatizo amempenda sana huyo Bibie mpaka na yeye akaona Kero kila saa hadi anashindwa kupumua tena za shingo
 
Back
Top Bottom