Sawa tichaBasi fanya kama unanisaidia kuja pm ili somo lianze mapema sijui umenielewa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tichaBasi fanya kama unanisaidia kuja pm ili somo lianze mapema sijui umenielewa??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume akikutamkia kua amekuacha basi ujue wewe ni kimeo, itakubidi ukafanyiwe maombi. - JamiiForumsHabari zenu wana jf,kama hapo juu panavyosomeka,Nilianza naye mahusiano mwaka 2017,tumekuwa wote kwa mwaka na miezi kadhaa
Mwaka jana mwenzi wa 10 nilipata mimba na wakati huo hatukuwa kwny mahusiano mazuri,lakini tuliongea akasema kwamba tupo wote sababu ya mimba,nilipata stress sana sababu sipendi nije kuwa na watoto wa baba tofauti,stress ambazo kwa kiasi kikubwa zilipelekea nikapata miscarriage, kipindi chote cha mimba mpka miscarriage alikuwa ananisupport kwa asilimi kubwa na pia upendo baina yetu uliongezeka kiasi fulani japo siwezi jua kama upendo wake ulikuwa unamaanisha,baada ya mimba kuharibika nikarudi nyumbani Mkoani kwa family issues,
Wiki ya mbili za mwanzo toka nije mkoani mawasiliano yalikuwa mazuri tu,wiki ya tatu baadaye mawasiliano yakapungu nisipomtafuta hanitafuti na akinitafuta ananilaumu kwanini simtafuti,na mimi kama binadamu sikupenda nikamwambia tu kwamba ww unataka utafutwe tu na unajitia busy,tuligombana sana baada kama ya siku mbili akaniambia kwakuwa siku za wiki yuko busy then tutafutane weekend atatenga mda kwa ajili yangu sikutaka kubishana naye,weekend ikifika bado anakuwa busy nikamwambia kama huwezi kunipa mda hata weekend basi unitafute ukijisikia akasema nampangia,yeye ashasema atanitafuta weekend,sikutaka kubishana naye nikamwambia tu kwny mahusiano mawasiliano ni jambo la kwanza hasa ukizingatia mimi na wewe tuko basi ikiwa kama nimeanzisha ugomvi tukagombana sana,mpka akaniambia kwamba ananipa ruhusa niwe na mwanaume mwngne ili tu nione kama mahusiano yapo kama nnavyodhani nayeye nafasi yake nimuachie palepale anataka tu nipate experience,
Kiukweli nampenda sana lakini kwa hii kauli yake nipo njia panda nahisi hata upendo wangu kwake unapungua kila siku na sitaki kumpoteza ni mtu ambaye amenifundisha mambo mengi na anamchango mkubwa kwenye maisha yangu ukitoa familia marafiki,
Jamani nifanyeje ili huu usiano uendelee
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikaongeze macho yangu yawe manne, yawezekana kwenye hili shairi la kimapokeo kuna ujumbe kuntuMara ugomvi unakurupua unanitukana mimi
Hata zawadi nikikuletea hausemi asante
Tena nashare hata bila kujua we hulidhiki kwa nini
Kuna wakati nilijisumbua mwenzangu usiwaze
Kwangu moyo we unauchanganya ah
Umekuwa kivuruge unavuruga sana baba wee
Kitu gani kwako mi sijafanya, eeh eeh
Ama kuna mtu mnapendana sana
Leo sina thamani ndo mana
Unawafata ma-sister-du oh baba
Leo sina thamani eeh ndo mana
Unawafata ma-sister-du oh baba
We niache ee
Nitapona mdogo mdogo nitapona (niache)
Nitapona mdogo mdogo nitapona (nitapona kidogokidogo)
Nitapona mdogo mdogo nitapona (nitapona mi)
Nitapona mdogo mdogo nitapona
Aiyoyoiyoooh
(Nandy - Kivuruge)
Ukishaongeza macho uende kwa Nandy akuimbieNgoja nikaongeze macho yangu yawe manne, yawezekana kwenye hili shairi la kimapokeo kuna ujumbe kuntu
Nandy tena!! ina maana na yeye ana sauti mkoromo yenye mvuto zaidi yako?Ukishaongeza macho uende kwa Nandy akuimbie
Nitake radhiNandy tena!! ina maana na yeye ana sauti mkoromo yenye mvuto zaidi yako?