zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
I love her but I don't know where to start from.
Niliwahi kukutana na msichana mmoja mdada wa chuo wakati wa likizo ya corona mwezi wa 4
She's well behaved na anaonekana ni super smart sasa kumpenda nimempenda Ila I never approached any girl...
Sasa sijui nianzie wapi
Namba yake ya simu kanipa huwa tuna chat but sio vitu confidential ..??
Niliwahi kukutana na msichana mmoja mdada wa chuo wakati wa likizo ya corona mwezi wa 4
She's well behaved na anaonekana ni super smart sasa kumpenda nimempenda Ila I never approached any girl...
Sasa sijui nianzie wapi
Namba yake ya simu kanipa huwa tuna chat but sio vitu confidential ..??