Mkunde Original
JF-Expert Member
- Jul 20, 2013
- 807
- 647
Mlewee ariff
Hakuna tabia naichukia kama ya kunywa mahsusi kwa ajili ya flani. .... yaani mtu anataka kumsema mtu basi anamnywea pombe ndo aende kumsema.
Nachukia hiyo tabia na huyo mtu huwa namdharau maana naona hajiamini hadi any we pombe. After all yote atakayoongea wala siyasikilizi na kesho yake namwambia jana ulikunywa ukawa unaimba nyimbo za remi ongala na nusura ujikojolee na kujitapikia.
Ukiwa unataka kuongea na mtu come you as you sober and sound sio kuvaa miwani ya pombe.