Nampenda ila hanitaki hata kunisikia

Nampenda ila hanitaki hata kunisikia

Kitendo cha wewe kuwa 'serious' ndo kinamuogopesha
bora na wewe ungejifanya uko kawaida kama hao masharobaro
akiingia line ndo umueleze ulivyo serious
 
Shukuru Mungu mkuu ulikokua unaelekea siko mahali ulikotakiwa kuelekea
 
Kuna Dada nampenda ,nimemwambia seriously hanielewi,hanitaki na haonyeshi kuelekea!! Amekua anadate na vijivulana visharobaro vimekua vikimchezea na kumuacha anaumia,Ila bado nikimfuata mi Niko real hanitaki!

Na kiukweli niko serious nataka nimfanye my future wife!!Ila bado bila bila.
Ivi nyie wanawake MNA nini??

Sometimes nawaza sijui nimuendee kwa mganga !! Maana nampenda had nahisi naweza kua chizi akiendelea kunizngua!! Yaan dunia naona kila kitu kibaya!!

Msaada tafadhar kama kuna kitu naweza Fanya maana naweza lipuka!!
Au tushare experience
vumilia tu ndugu...acha vijana wamburute kwanza,wapige mashine weee wafumue marinda weee af wewe unakuja unaoa kabisa.vumilia tu mkuu
 
Kuna Dada nampenda ,nimemwambia seriously hanielewi,hanitaki na haonyeshi kuelekea!! Amekua anadate na vijivulana visharobaro vimekua vikimchezea na kumuacha anaumia,Ila bado nikimfuata mi Niko real hanitaki!

Na kiukweli niko serious nataka nimfanye my future wife!!Ila bado bila bila.
Ivi nyie wanawake MNA nini??

Sometimes nawaza sijui nimuendee kwa mganga !! Maana nampenda had nahisi naweza kua chizi akiendelea kunizngua!! Yaan dunia naona kila kitu kibaya!!

Msaada tafadhar kama kuna kitu naweza Fanya maana naweza lipuka!!
Au tushare experience
Kwahiyo wewe umemwona huyo mmoja tu??? Kwani mitaani kwenu hamna wanawake wengine???...iweje mwanaume ukagande ako kamoja tu kwani huyo ni EVA???..move to another adventure men...ohoo ukiendelea hivyo ujue taasisi ya moyo ya J.K pale Muhimbili inakuita.
 
vumilia tu ndugu...acha vijana wamburute kwanza,wapige mashine weee wafumue marinda weee af wewe unakuja unaoa kabisa.vumilia tu mkuu
Hahahaaa mkuu umeua bendi unapewa used na mahari M5 juu...kweli ujinga ni malighafi adimu sana.
 
Siku zote mwanamke huwa hapend peny upendo. Pale ambako hakuna upendo weng ndio wanang'ang'ania,
huyo sio wife material atakutesa ukiwa naye. Mapenz hayalazimishwi. Sasa hiv yupo kweny maji ya moto subiri akiwa vugu vugu kwey 25 hv atakavyokuja mbio love connect kutafuta mume. Hao ndio utasikie anataka umzalishe tu.
 
Kuna Dada nampenda ,nimemwambia seriously hanielewi,hanitaki na haonyeshi kuelekea!! Amekua anadate na vijivulana visharobaro vimekua vikimchezea na kumuacha anaumia,Ila bado nikimfuata mi Niko real hanitaki!

Na kiukweli niko serious nataka nimfanye my future wife!!Ila bado bila bila.
Ivi nyie wanawake MNA nini??

Sometimes nawaza sijui nimuendee kwa mganga !! Maana nampenda had nahisi naweza kua chizi akiendelea kunizngua!! Yaan dunia naona kila kitu kibaya!!

Msaada tafadhar kama kuna kitu naweza Fanya maana naweza lipuka!!
Au tushare experience

Pole...sio mtu sahihi kwako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom