MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 19,416
- 40,264
Uko sahihi 100%.Kama unampenda ,nenda kwao fanya taratibu zote , uchukue mke wako huyo , kinyume na hapo ni upwiru unakusumbua tu.
Uko sahihi 100%.Kama unampenda ,nenda kwao fanya taratibu zote , uchukue mke wako huyo , kinyume na hapo ni upwiru unakusumbua tu.
shida iliyosababisha uhtaji 5000 ni nini?Kwa Jinsi Unavonijb Na Nimekuambia Na Shida Na 5000 Leo Ndg NAOMBA KWA YOYOTE MWENYE ROHO YA UTU ANISAIDIE TAFADHALI
ukimnunulia simu unaweza ukajitafutia matatizo iwapo atakamatwa akiwa nayo.Mnunulie ata kitorch cha 30 acha ubahili mkuu
Niko KIJIJINI Na Sina Kitu An Hata Ya Kula Sina Hapa Nilipoo Nikirudi Mjinishida iliyosababisha uhtaji 5000 ni nini?
Mwambieni janja uhalisia bn! We utaendaje kwa wazazi kabla hawajachumbiana?Fuata taratibu kawaone wazazi wake , kumpenda mtu Sio jambo la kuishia kugegedana tu huko vichakani