Nampenda, ila ananizungusha sana!

Nampenda, ila ananizungusha sana!

Wakuu kuna binti mtoto wa alfu mbili nimemuelewa sana, nimempenda na nimemwambia mara kadhaa adhma yangu ya kumuoa, hana simu, yeye huwa namsubiria akija kanisani ndipo nionane nae

Siku za mwanzo alikuwa vema tu tunaonana, namkiss na nampa hela ya sadaka, lakini now anasema anabanwa sana na kazi, hawezi kuja.

Kuna siku nimekutana nae mahala tukaongea akaniambia siku fulani anakuja kwa ajili ya ku do, nikamwambia mbona unakuwa hautimizi ahadi zako au hunipendi? Akasema nakupenda na siku hiyo nakuja, hakutokea na mpaka sasa sijaonana nae.

Nifanyaje? Nampenda
Kamsemeee kwa babake
 
NATAMAN KUANDIKA KITU ILA ROHO INAUMA SANA ...NIMEOMBA MSAADA NASHANGAA NDIO NIMEONGEZEWA
 
Vaa suti nzuri ,Kaa smart , nenda kanisani , halafu kama unakaujuzi kakupiga kinanda usijivunge piga

Imba nyimbo za kuabudu kwa mikogo na bashasha , uone kama haujagegeda kanisa zima
Nimecheka
Ebu nirudi kwa huyu mleta mada kwahiyo anaamini kweli binti hana simu basi sawa amedanganywa hana simu si amnunulie tu kuliko kuviziana kanisani
 
Nimecheka
Ebu nirudi kwa huyu mleta mada kwahiyo anaamini kweli binti hana simu basi sawa amedanganywa hana simu si amnunulie tu kuliko kuviziana kanisani
Wazee wa kuvizia vya kunyonga vya kuchinja aaaaah
 
Back
Top Bottom