Nampenda, ila ananizungusha sana!

Nampenda, ila ananizungusha sana!

Vizuri upo kwenye umri sahihi wa kubadili mindset yako
Anza kujifunza zaid somo linaitwa masculinity anza na vitabu hivi tafuta PDF
1
Screenshot_20260106-095437.png


2
Screenshot_20260106-095044.png


3
Screenshot_20260106-095200.png


Ingia YouTube search mwamba anaitwa Farfromweak anza na video za zaman
Screenshot_20260106-095518.png


Uo ulokole wako utakupoteza vibaya mnooo kwenye maisha umekua mwanaume dhaifu sana kwanzia kichwani mpaka mwili

Be ruthless be dangerous mwanamke anagongwa na wanaume wakatili sio wakushinda kanisani (beta male ) change and be an Alpha male
 
Vizuri upo kwenye umri sahihi wa kubadili mindset yako
Anza kujifunza zaid somo linaitwa masculinity anza na vitabu hivi tafuta PDF
1View attachment 3525971

2View attachment 3525973

3View attachment 3525974

Ingia YouTube search mwamba anaitwa Farfromweak anza na video za zaman View attachment 3525977

Uo ulokole wako utakupoteza vibaya mnooo kwenye maisha umekua mwanaume dhaifu sana kwanzia kichwani mpaka mwili
kwanza ifahamike mimi sio mlokole kama unavyo dai! Lakini ni hivi,huyo binti kila siku za jumapili hupita kazini kwangu na bila kumshinikiza,huniomba hela ya sadaka.
 
Wakuu kuna binti mtoto wa alfu mbili nimemuelewa sana, nimempenda na nimemwambia mara kadhaa adhma yangu ya kumuoa, hana simu, yeye huwa namsubiria akija kanisani ndipo nionane nae

Siku za mwanzo alikuwa vema tu tunaonana, namkiss na nampa hela ya sadaka, lakini now anasema anabanwa sana na kazi, hawezi kuja.

Kuna siku nimekutana nae mahala tukaongea akaniambia siku fulani anakuja kwa ajili ya ku do, nikamwambia mbona unakuwa hautimizi ahadi zako au hunipendi? Akasema nakupenda na siku hiyo nakuja, hakutokea na mpaka sasa sijaonana nae.

Nifanyaje? Nampenda
Wanawake wengi ni watu wanao penda material things pia ni kiumbe dhaifu na chenye tamaa.

Wanawake pia ni emotional being pia kumbuka sanaa ya kutongoza Ina skills mbali mbali usiache kujielimisha..

Usiwe SIMP kuwa alfa male ndio uanaume MWANAUME WA kwelii hawezi Lilia mbususu/ papuchiii

NB. Kama wewe ni mwanachuo/ huna kipato/ mwanafunzi wa secondary e.t.c ila sisi wenye 38's hatubabaishwii maana nothing new
 
Kinachowabeba watu humu ni kutokujuana hata Kwa sura ndo maana mtu anapata nguvu ya kuja kuandika vitu kama ivi , 😳
Kuna sehem umeandika ni kabint ka elf mbili akat na yeye Yuko na 25 years 😂😂😂😂
 
Wakuu kuna binti mtoto wa alfu mbili nimemuelewa sana, nimempenda na nimemwambia mara kadhaa adhma yangu ya kumuoa, hana simu, yeye huwa namsubiria akija kanisani ndipo nionane nae

Siku za mwanzo alikuwa vema tu tunaonana, namkiss na nampa hela ya sadaka, lakini now anasema anabanwa sana na kazi, hawezi kuja.

Kuna siku nimekutana nae mahala tukaongea akaniambia siku fulani anakuja kwa ajili ya ku do, nikamwambia mbona unakuwa hautimizi ahadi zako au hunipendi? Akasema nakupenda na siku hiyo nakuja, hakutokea na mpaka sasa sijaonana nae.

Nifanyaje? Nampenda
Tafuta shamba ulime mkuu. Msimu ndo huu
 
Kinachowabeba watu humu ni kutokujuana hata Kwa sura ndo maana mtu anapata nguvu ya kuja kuandika vitu kama ivi , 😳
Kuna sehem umeandika ni kabint ka elf mbili akat na yeye Yuko na 25 years 😂😂😂😂
Mbona wengine tunajuana natuna andika tu ,😅
 
Kinachowabeba watu humu ni kutokujuana hata Kwa sura ndo maana mtu anapata nguvu ya kuja kuandika vitu kama ivi ,
Kuna sehem umeandika ni kabint ka elf mbili akat na yeye Yuko na 25 years
unaweza ukawa unashauri kabisa kwamba fanya hivi fanya hivi ili ukipate kipochi manyoya cha binti huyo kumbe anayezungumziwa ni binti yako na anayemzungumzia ni mzee jirani yako. Jf imesaidia wengi sana.
 
Back
Top Bottom