Nampenda, ila ananizungusha sana!

Nampenda, ila ananizungusha sana!

Holoholo-Baba Kijacho

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
6,732
Reaction score
13,766
Wakuu kuna binti mtoto wa alfu mbili nimemuelewa sana, nimempenda na nimemwambia mara kadhaa adhma yangu ya kumuoa, hana simu, yeye huwa namsubiria akija kanisani ndipo nionane nae

Siku za mwanzo alikuwa vema tu tunaonana, namkiss na nampa hela ya sadaka, lakini now anasema anabanwa sana na kazi, hawezi kuja.

Kuna siku nimekutana nae mahala tukaongea akaniambia siku fulani anakuja kwa ajili ya ku do, nikamwambia mbona unakuwa hautimizi ahadi zako au hunipendi? Akasema nakupenda na siku hiyo nakuja, hakutokea na mpaka sasa sijaonana nae.

Nifanyaje? Nampenda
 
Wakuu kuna binti mtoto wa alfu mbili nimemuelewa sana,nimempenda na nimemwambia mara kadhaa adhma yangu ya kumuoa,hana simu,yeye huwa namsubiria akija kanisani ndipo nionane nae, siku za mwanzo alikuwa vema tu tunaonana,namkiss na nampa hela ya sadaka,lakini now anasema anabanwa sana na kazi,hawezi kuja,kuna siku nimekutana nae mahala tukaongea akaniambia siku fulani anakuja kwa ajili ya ku do, nikamwambia mbona unakuwa hautimizi ahadi zako au hunipendi? Akasema nakupenda na siku hiyo nakuja,hakutokea na mpaka sasa sijaonana nae. Nifanyaje? Nampenda
Tia hela ....siyo unyonge
 
Wakuu kuna binti mtoto wa alfu mbili nimemuelewa sana, nimempenda na nimemwambia mara kadhaa adhma yangu ya kumuoa, hana simu, yeye huwa namsubiria akija kanisani ndipo nionane nae

Siku za mwanzo alikuwa vema tu tunaonana, namkiss na nampa hela ya sadaka, lakini now anasema anabanwa sana na kazi, hawezi kuja.

Kuna siku nimekutana nae mahala tukaongea akaniambia siku fulani anakuja kwa ajili ya ku do, nikamwambia mbona unakuwa hautimizi ahadi zako au hunipendi? Akasema nakupenda na siku hiyo nakuja, hakutokea na mpaka sasa sijaonana nae.

Nifanyaje? Nampenda
Si kwa ubaya ila naomba nikuulize

Una miaka mingapi???
 
Yani anamsubiri Mwanamke Kanisani ili amtongoze na kupanga mipango yao ya kufanya zinaa!

Yani Kanisani ndio amepaona kua ndio meeting point ya kutongoza!
Vaa suti nzuri ,Kaa smart , nenda kanisani , halafu kama unakaujuzi kakupiga kinanda usijivunge piga

Imba nyimbo za kuabudu kwa mikogo na bashasha , uone kama haujagegeda kanisa zima
 
1. Huwa najiuliza kwa nn mapepo yameongezeka kanisani, kumbe na yenyewe yanatoa sadaka!

2. Huo sio uchumba bali hayo ni mahusiano ya kimapenzi (unataka kula tunda kimchezo mchezo kwa jina la uchumba)

3. Mtoto wa watu haonekani hata kanisani kwa sababu amekutana na jini mahaba/maimuna kanisani na mch hana macho ya kiroho kwa sababu anakula sadaka zenu mapepo na majini ya zinaa)

4. ACHANA NAYE TAFUTA MWINGINE NA FUATA HATUA HIZI (HAPA NI KAMA UNATAKA UCHUMBA NA SI NGONO).
-mshirikishe nia yako ya uchumba kwa moyo mmoja
-akikubali, panga siku nenda kwao ukajitambulishe kwa wazazi wao
-wazazi wakikubali, peleka wazazi wako/au watu wa waheshima kwao na binti
-jitahidi kupeleleza kuhusu hyo familia usije leta laana langoni kwako
-yote yakikamilika anza hatua za harusi ikiwemo kujua afya zenu hadi kuoana.

SIJAWEKA KUWAONA WACHUNGAJI NA MASHEKHE MAANA HUWA NI WANOKO SANA MAANA UNAWEZA KUTA MKEO ANAMTII MCH AU SHEHE KULIKO WEWE MME WAKE
-hao washirikishe tu wakati wa kufunga ndoa (hutanielewa)
 
Back
Top Bottom