Nampenda Ila ananipiga

Nampenda Ila ananipiga

ryana fan

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2018
Posts
2,632
Reaction score
3,063
Habari za asubuhi wakuu.

Hi imenisikitisha Sana. Nisiongee mengi.

" Mchumba wangu ananipiga mara kwa mara,Lakini bado nampenda,Na tuko mbioni kufunga ndoa,nifanyeje?"
FB_IMG_1558511737316.jpeg
 
It is better to have a failed engagement..... than be taken back to your parents in a coffin.

Have you no pride? Don't you value yourself? Do you know what your parents went through from the time you were born until you attained adulthood ?

Acha uboya wewe.
 
Hapo ni Mchumba uko hivyo ukiwa Mke itakuwa balaa, maamuzi unayo mwenyewe uamue kusuka au kunyoa.
 
Back
Top Bottom