by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
Nenda kwa kalumanzila watamvuta zern distance acha uzembe na kulia lia wakat wa sayanc na technolygy.
muulize kama anaenda chapati
halafu mpikie umpelekee
hii yako kali,ndio ukute hujui kutengeneza kama mie zinatoka kama kaukau,lol...na urafiki unakufa lol
Jamani ni muda umepita ndangu nilipopenda mwanzoni now yapata taklibani 3yrs sijawahi hisi kupenda tena,but now nahisi kumpenda mkaka kiasi nikimuona nasikia raha,sitamani haondoke,natamani aniambie chochote nimfanyie,natamani kumuanza naogopa pengine anahisia zozote juu yangu,Naomba mnisaidie namna ya kumpata huyu jamaa au haweze kunitamkia anipenda. Nampenda sana kiasi nikilala lazima kwanza nimuweze ndio napata usingizi please wana JF nisaidieni niondokane na hili tatizo.
Okya wadada/mama hatuna the same luxury men have.... Naamini na najua roho yako yataka sana umwambie kua umempenda. Kama utakua umempenda kwa kumtamani kua ukutane nae kimwili then kila mtu ashike zake unaweza jitahidi umwambie yalojaa katika moyo wako. Ni wakaka/baba wachache ambao wapo understanding na ataendelea kukuheshimu hata kama mkiwa katika mahusiano iwapo wewe ndio utamtongoza.
Hata hivo Okya jitahidi dear, weka viashiria kua unampenda and you have deep feelings for him. Amini nakuambia kama yupo interested lazima tu atakutongoza, but kama hana interest you will end up making a fool of yourself OR utaishia kumtongoza atakukubali kwa malengo na mawazo kua pa kupozea. Which to me naona kama maumivi yatakua makubwa kuliko ukimkosa sasa. Hata hivo, I believe ushaamua ni nini unataka kufanya ila unakusanya mawazo. All the best katik hilo Okya.
Jamani ni muda umepita ndangu nilipopenda mwanzoni now yapata taklibani 3yrs sijawahi hisi kupenda tena,but now nahisi kumpenda mkaka kiasi nikimuona nasikia raha,sitamani haondoke,natamani aniambie chochote nimfanyie,natamani kumuanza naogopa pengine anahisia zozote juu yangu,Naomba mnisaidie namna ya kumpata huyu jamaa au haweze kunitamkia anipenda. Nampenda sana kiasi nikilala lazima kwanza nimuweze ndio napata usingizi please wana JF nisaidieni niondokane na hili tatizo.
Anzisha ukaribu hata wa hi, but not as friend. Eye contacts sometimes does the magic au msifie akiwa ametoka bomba.
Nasisitiza usiweke ukaka na dada kama kianzio utaharibu the whole idea.
muulize kama anaenda chapati
halafu mpikie umpelekee