Mwisho wake wa kumpenda ni nini sasa? Fafanua kidogo hapo.Wanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa… nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,
Aaaa taratibu kaka
JF kweli raha!
Hahaha! Bujibuji we kiboko, unamvunja moyo Elia au?...lolHata yeye FAIZA FOXY kasema ananipenda sana, usiku halali ananiota mimi. Akifungua kitabu chake chenye maandashi ya Kiarabu, anaona kuanzia sura ya kwanza hadi ya mwisho jina langu tu
jf ni raha sikidogo, kwani bila jf usingejua kuwa nakupenda!! Au unasemaje Gaijin.
faizafoxy anaweza kuwa ni jini
No matter what you lean globally, it's how you apply it locally that counts.
Picco - Kikongwe - YouTubeWanasema maumivu ya kichwa huanza polepole, Nilikuwa simpendi huyu mwanamke, lakini sasa bila kumuona nakosa raha kabisa… nahisi namuogopa au nampendea sana.. lakini kiukweli nafurahia uwepo wake.. Ninge m-pm lakini najua kuna watu kama mimi walisha wahi kuwachukia watu then wakaja kuwa ni wapendwa wao sana,
Hata yeye FAIZA FOXY kasema ananipenda sana, usiku halali ananiota mimi. Akifungua kitabu chake chenye maandashi ya Kiarabu, anaona kuanzia sura ya kwanza hadi ya mwisho jina langu tu