Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,709
- 40,921
Ukishamuona uje hapa
Nisamehe bure nanyamazaHalafu huo umbea wako siupendi (serious)
Mara ya pili leo nakuona tu, kama unataka kuongea ongea yako yangu out of jf yaache, nikijisikia kuyasema nitayasema mwenyewe.Nisamehe bure nanyamaza
Wahenga walisema ukimuendekeza sana mbwa anaweza kukufuata hadi msikitini...pole,leo huenda umeamkia nyota ya chipsi mayari ndo maana watoto wa shule wamekuungia mkia!Mara ya pili leo nakuona tu, kama ongea yako yangu out of jf yaache, nikijisikia kuyasema nitayasema mwenyewe.
Mkuu Evelyn salt usiumize kichwa bure ukiona mti ndege wengi wanatua jua unaliwa huo ww ni mtu ya nguvu ndiyo maana watu wanashindwa kuvumilia mapovu yanawatoka ila sisi wahenga hatuna shidi niachieni Evelyn wangu jamani kwani mlikuwa wapi mda wote huo mpaka nilipoomba mm?Sasa mwanaume hutakiwi kuuliza swali la hivo kwa mwanaume mwenzio kuwa kanipendea nini, ni kama vile unacho cha ziada kujilinganisha na mie.... Kama kapenda wowowo basi we unalo la haja. Bora angeuliza mwanamke
Nitajuaje na sina shida kujua habari zako ninayehitaji kumjua ni Evelyn si wwHujui hawa walimu ni watani zangu? Hasa anayesubiri kijacho (ati moyo wako umemdondokea). Mwanaume ni afadhali afe kuliko kufumuliwa marinda. Isipokuwa kama ni kutibiwa ugonjwa kama hemicolectomy, Hemorrhoidectomy au Kupima BPH
Baby hayo maneno wala usiyajali wambea wa mjini hajaulizwa kaisha sema hii ndiyo ile tabia ya kuwashwa washwa.Halafu huo umbea wako siupendi (serious)
hatari sanaUnamtaka wewe??
Ndio naamka hapaWewe si ulikua umesem unaenda kulala au
Teh tehKiutani utani naeza pelekwa Russia teh
Ni kweli mkuu kama alivyoachia thread yake Madame BMara ya pili leo nakuona tu, kama ongea yako yangu out of jf yaache, nikijisikia kuyasema nitayasema mwenyewe.
Watu wana roho mbaya wanaona aibuHaya sasaaaa!!!
Watu kimyaaaa
YesTeh teh
New sponsor in town dr shika
We ulitaka ni kupende ww watu wako pm tayariNimemuuliza hivyo Nina maana kwamba.
Picha sio yako. Jina sio lako. Sasa amekupendea nini
Jina au hyo picha ambayo sio wewe. Hyo ndo maana yangu.
AjabuUnacho mwenyewe. Nitampa vipi Mimi. Wewe ndo unatakiwa umpe. Kwangu tutadindiana tu.