maana yake unacholipwawadau
naomba mnisaidie mwenye kujua namna ya kuweka salary history yako kwenye application za kazi ikiwa umeambiwa ni lazima uweke salary history.
Je, sahihi ni kuijumlisha kwenye cv au iwe na karatasi yake inayojitegemea?
Msaada please!
maana yake unacholipwa