Tuma IMEI namba yake kwenda 15090. Then hapo hapo TCRA itakutumia model ya simu na kama haioani na hiyo uliyonayo basi sio yenyewe.Wandugu naomba kujuzwa namna ya kutambua iphone fake... Clone au za akichina.
Natanguliza shukrani.
Nimetumia hii imekubaliTuma IMEI namba yake kwenda 15090. Then hapo hapo TCRA itakutumia model ya simu na kama haioani na hiyo uliyonayo basi sio yenyewe.
Mkuu hapondio mwisho wa matatizowadau washatolea ufafanuzi wa kutosha kabisa iphone fake utaijua tu ina miss features nyingi kama Icloud, app store, find my phone, app id na hata ukiiconnect kwenye itune inagoma.
Lakini tumia web ya IMEI.info: Online IMEI Number Checker kwa kuingiza imei number na kupata details zote za hiyo simu, kama itakataa jua hiyo ni fake.