mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,732
- 1,610
- Thread starter
-
- #21
Sawa, sasa maoni yako ni kwamba nusu kura zile mil 6 zote zinarudi CCM?Walienda kwa Lowasa si kwa sababu walikuwa na shida bali walikuwa ni washabiki wake toka zamani na ni wana CCM, kwa hiyo huko chadema hawakuwa na ndugu tofauti na Lowasa.
Huyo mwenyekiti wa saccos alishasusa siku nyingi kamwachia poyoyo wao Salum Mwalimu.Mbowe anawanachama wangapi nchi nzima?. Au umekalia ushabiki tu.
Kama ikiwa hivyo basi siku hizi kumi vijana mia wakiingia mtaani kila Halmashauri, mapema sana TL anachukua.Lowassa hilo zee tapeli la kisiasa halikuja na kura zozote za maana bali alizikuta. Angeenda ACT, TLP nk angekuwa kama Membe hivi leo. Msitake kumpa Lowassa sifa ambazo hana. Iwapo Membe angejiunga cdm na kupata nyomi anayopata Lisu sasa, mngesema cdm ilikuwa imekufa ila Membe ndio kawapa uhai.
Very good point.Kiukweli ccm walijitaidi Sana kuhimizana kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura,upinzani ulilega,kiasi ambacho wengi hawana kadi,ata tusiokua na vyama walipita kuhimiza,Apo ndo upinzani ulikosea
Kiukweli ccm walijitaidi Sana kuhimizana kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura,upinzani ulilega,kiasi ambacho wengi hawana kadi,ata tusiokua na vyama walipita kuhimiza,Apo ndo upinzani uulikosea
Mwaka 2015 waliondikishwa walikuwa 23.2millioni.Kama wapinzani hawajajiandikisha, iweje idadi ya wapigakura iwe 29m+ sawa na nusu ya watanzania wote? Yaani kila watanzania wawili mmoja amejiandikisha! Ama ukubali Idadi ni ya kupika, au kila mtu kujiandikisha. na iwapo idadi ni ya kupika, hata matokeo yatakuwa ni ya kupika.
Yeye polepole ndio atawapigia kura hao mil 16?
According to Pole Pole CCM wana wapiga kura waliojiandikisha millioni 16 ambao tayari wanawapa ushindi wa 75%. Je, Chadema wana wapiga kura wangapi?
Nafikiri ni watembeza bakuli mchana kweupe wakati wamekula pesa za ruzuki bila kunawa mikono.
Wale Ruzuku halafu Takukuru iwaache hivihivi?Nafikiri ni watenbeza bakuli mchana kweupe wakati wamekula pesa za ruzuki bila kunawa mikono.
Hizo ni stats mkuu, kuangalia jinsi ambavyo wamejiandaa kwenye hiki kinyang'anyiro. Kuna members wengine wamejiandikisha lakini siku ya kura wanaweza kuwa na udhuru nk. Vile vile kuna wasio na vyama na wao wana mapenzi kwa wanaowapenda nk. Kama unavyoona hapa chini wengine wanakwenda kujinadi chijui huyu Balozi atapiga kura? Yetu macho!
Hii nayo imekuwaje tena tunakaa pamoja na Mabeberu??Hizo ni stats mkuu, kuangalia jinsi ambavyo wamejiandaa kwenye hiki kinyang'anyiro. Kuna members wengine wamejiandikisha lakini siku ya kura wanaweza kuwa na udhuru nk. Vile vile kuna wasio na vyama na wao wana mapenzi kwa wanaowapenda nk. Kama unavyoona hapa chini wengine wanakwenda kujinadi chijui huyu Balozi atapiga kura? Yetu macho!
Zimeongezeka maana wiki iliyopita mliimba wimbo wa Lissu kupata kura 200k.Lowasa aliondoka na kula zake milioni tatu akawaachia milioni moja tu, kwa hiyo mkijitahidi na za zito mtafikisha milioni tatu.
Umeona eee! Lady Jaydee alisema "siku hazigandi". Magu anajikaanga kwa maneno yake mwenyewe.Naikumbuka sana hii hotuba, ilikuwa ule mkasa wa DAB. Siku zinaenda haraka sana kwenye maisha ya siasa.
Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Mwaka 2015 waliondikishwa walikuwa 23.2millioni.
Kuna ongezeko la wapiga kura mil 6 mwaka huu.
Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app