Uchaguzi 2020 Namna ya kutafuta kura 3m zilizopelea 2015

Kiukweli CCM walijitaidi Sana kuhimizana kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura,upinzani ulilega,kiasi ambacho wengi hawana kadi,ata tusiokua na vyama walipita kuhimiza,Apo ndo upinzani ulikosea
 
Lowassa hilo zee tapeli la kisiasa halikuja na kura zozote za maana bali alizikuta. Angeenda ACT, TLP nk angekuwa kama Membe hivi leo. Msitake kumpa Lowassa sifa ambazo hana. Iwapo Membe angejiunga cdm na kupata nyomi anayopata Lisu sasa, mngesema cdm ilikuwa imekufa ila Membe ndio kawapa uhai.
Kama ikiwa hivyo basi siku hizi kumi vijana mia wakiingia mtaani kila Halmashauri, mapema sana TL anachukua.

Na msg ile ile simple Uhuru, Haki na Maendeleo.

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli ccm walijitaidi Sana kuhimizana kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura,upinzani ulilega,kiasi ambacho wengi hawana kadi,ata tusiokua na vyama walipita kuhimiza,Apo ndo upinzani uulikosea

Kama wapinzani hawajajiandikisha, iweje idadi ya wapigakura iwe 29m+ sawa na nusu ya watanzania wote? Yaani kila watanzania wawili mmoja amejiandikisha! Ama ukubali Idadi ni ya kupika, au kila mtu kujiandikisha. na iwapo idadi ni ya kupika, hata matokeo yatakuwa ni ya kupika.
 
Kazi zipi?
Orodhesha

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
1602962311505.png


1602962380028.png



1602962401486.png



1602962422485.png

1602962441575.png


1602962463450.png



1602962498034.png



1602962523718.png


Need some more ... .... .
 
Kama wapinzani hawajajiandikisha, iweje idadi ya wapigakura iwe 29m+ sawa na nusu ya watanzania wote? Yaani kila watanzania wawili mmoja amejiandikisha! Ama ukubali Idadi ni ya kupika, au kila mtu kujiandikisha. na iwapo idadi ni ya kupika, hata matokeo yatakuwa ni ya kupika.
Mwaka 2015 waliondikishwa walikuwa 23.2millioni.

Kuna ongezeko la wapiga kura mil 6 mwaka huu.

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
1602962852573.png

According to Pole Pole CCM wana wapiga kura waliojiandikisha millioni 16 ambao tayari wanawapa ushindi wa 75%. Je, Chadema wana wapiga kura wangapi?
 
Yeye polepole ndio atawapigia kura hao mil 16?



Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
Hizo ni stats mkuu, kuangalia jinsi ambavyo wamejiandaa kwenye hiki kinyang'anyiro. Kuna members wengine wamejiandikisha lakini siku ya kura wanaweza kuwa na udhuru nk. Vile vile kuna wasio na vyama na wao wana mapenzi kwa wanaowapenda nk. Kama unavyoona hapa chini wengine wanakwenda kujinadi chijui huyu Balozi atapiga kura? Yetu macho!

1602963415967.png
 
Hizo ni stats mkuu, kuangalia jinsi ambavyo wamejiandaa kwenye hiki kinyang'anyiro. Kuna members wengine wamejiandikisha lakini siku ya kura wanaweza kuwa na udhuru nk. Vile vile kuna wasio na vyama na wao wana mapenzi kwa wanaowapenda nk. Kama unavyoona hapa chini wengine wanakwenda kujinadi chijui huyu Balozi atapiga kura? Yetu macho!

Hii nayo imekuwaje tena tunakaa pamoja na Mabeberu??

Screenshot_20201017_204111.jpg


Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Lowasa aliondoka na kula zake milioni tatu akawaachia milioni moja tu, kwa hiyo mkijitahidi na za zito mtafikisha milioni tatu.
Zimeongezeka maana wiki iliyopita mliimba wimbo wa Lissu kupata kura 200k.
 
Mwaka 2015 waliondikishwa walikuwa 23.2millioni.

Kuna ongezeko la wapiga kura mil 6 mwaka huu.

Sent from my POT-LX1 using JamiiForums mobile app

Nchi hii ina watu 59m+, ukigawa hapo 29m+ ni nusu yake, kama sio tume imepika idadi ya wapiga kura, toka lini idadi ya watu wenye miaka 18+ iwe sawa na walioko chini ya miaka hiyo? Hapo ni wazi tume ya uchaguzi imejiandaa kupika matokeo ya kura, kwa maneno marahisi tume ya uchaguzi itakuwa ndio sababu ya nchi hii kuingia kwenye machafuko.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom