Ujio wa Lowassa upinzani ulivunja mioyo ya wapiga kura 2015; sasa CHADEMA imesimamisha mpinzani wa kweli

Mtu na nusu

JF-Expert Member
Jan 9, 2020
636
1,115
Matokeo ya uchaguzi mwaka 2015:
Magufuli alipata kura 8M
Lowassa 6M

Idadi kamili ya waliokuwa wamejiandikisha ilikua ni 23M. Hivyo takriban watu 9M hawakupiga kura.

Kwa mtazamo wangu, sababu kubwa iliofanya watu 9M wasipige kura ilikuwa ni ujio wa Edward Lowassa upinzani na Dkt. Slaa kujitoa upinzani na kuvujisha siri ya jinsi Lowassa alivyowanunua mabosi wa upinzani kipindi hicho.

Hivyo ninaamini uchaguzi huu utakua ni mgumu sana kwa pande zote kwani upinzani wamemsimamisha mgombea ambaye hana makandokando yoyote na sifa zake nzuri zinajulikana na Watanzania wengi.

Kwa upande wa Rais Magufuli naye nadhani kila mtu anafahamu nini amekifanya kwa awamu yake ya kwanza.

Tukutane oktoba 29.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matokeo ya uchaguzi mwaka 2015:
Magufuli alipata kura 8M
Lowassa 6M

Idadi kamili ya waliokuwa wamejiandikisha ilikua ni 23M. Hivyo takriban watu 9M hawakupiga kura.

Kwa mtazamo wangu, sababu kubwa iliofanya watu 9M wasipige kura ilikuwa ni ujio wa Edward Lowassa upinzani na Dkt. Slaa kujitoa upinzani na kuvujisha siri ya jinsi Lowassa alivyowanunua mabosi wa upinzani kipindi hicho.

Hivyo ninaamini uchaguzi huu utakua ni mgumu sana kwa pande zote kwani upinzani wamemsimamisha mgombea ambaye hana makandokando yoyote na sifa zake nzuri zinajulikana na Watanzania wengi.

Kwa upande wa Rais Magufuli naye nadhani kila mtu anafahamu nini amekifanya kwa awamu yake ya kwanza.

Tukutane oktoba 29.




Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyewe sikumpigia Lowassa maana nilijua ni fisadi haswa
 
Hivyo ninaamini uchaguzi huu utakua ni mgumu sana kwa pande zote kwani upinzani wamemsimamisha mgombea ambaye hana makandokando yoyote na sifa zake nzuri zinajulikana na Watanzania wengi.
Lissu ana makandokando!

Bahati mbaya sana , mgombea wa sasa wa Chadema ndiye aliandaa list waliyokuwa wanatamba nayo ya mafisadi!! Na ni huyu huyu alimkaribisha Mh. Lowassa aliye mpaka matope kwa zaidi ya miaka nane, na kumuwekea pingamizi mgombea halali wa wakati huo ndugu Wilbrod. Kwa ukigeugeu huu wa Lissu, unapata wapi munkari wa kumpigia kura ifikapo 28/10/2020?

Kwanza, moral authority hana ya kuisaidia Tanzania na watanzania kwa ujumla. Kwani aliapa wakati fulani Tanzania tuwekewe vikwazo vya kuturudisha nyuma katika nyanja zote. Hatujasahau!

Pili, amekuwa mchonganishi wa watanzania!
 
Ilani ya Chadema kurudisha FAO la kujitoa

Kura kwa Lisu
Kura kwa lisu yupi jomba.aende Kwanza akapambane wamalizane na Membe ili tujue Nani zaidi,. Tunamshauri arudi tarehe 29, wananchi tutakua tumeshafanya yetu..watanzania bana nawapenda sanaa..kwa style ya kichinjoo Chao..
 
Mwenyewe sikumpigia Lowassa maana nilijua ni fisadi haswa
Fisadi Nani kakwambia..mbona kina Lissu na uongozi wote wa chadema walikuwa wanasema walikuwa wanamsingizia..waliambiwa wafunge modomo yao
 
Matokeo ya uchaguzi mwaka 2015:
Magufuli alipata kura 8M
Lowassa 6M

Idadi kamili ya waliokuwa wamejiandikisha ilikua ni 23M. Hivyo takriban watu 9M hawakupiga kura.

Kwa mtazamo wangu, sababu kubwa iliofanya watu 9M wasipige kura ilikuwa ni ujio wa Edward Lowassa upinzani na Dkt. Slaa kujitoa upinzani na kuvujisha siri ya jinsi Lowassa alivyowanunua mabosi wa upinzani kipindi hicho.

Hivyo ninaamini uchaguzi huu utakua ni mgumu sana kwa pande zote kwani upinzani wamemsimamisha mgombea ambaye hana makandokando yoyote na sifa zake nzuri zinajulikana na Watanzania wengi.

Kwa upande wa Rais Magufuli naye nadhani kila mtu anafahamu nini amekifanya kwa awamu yake ya kwanza.

Tukutane oktoba 29.




Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa alipata 14M votes...akachakachuliwa
 
Back
Top Bottom