Namna ya kuokoa CHADEMA isife...

Chadema haifi mamluki wanajiondoa wenyewe
 
na kila anayekufa anaona hafi, mpaka anakufa na kukosa muda wa kujiuliza why

wanachama wote ni nyumbu


kikifa nyumbu wanahamia jengo lingine
Upinzani hautakufa lakini si chadema. Wameshupaza shingo kufanya mabadiliko. Chadema inafutika kwa staili ile ile ya NCCR kwa tuliokuwa tunafatilia siasa tunakumbuka vyema.
 
Mtapata tabu sana na Chadema, eti sio kufa kama binadamu ruksa kubadilika kama kinyonga.
 
na CCM inafuata itakufa kama wale walio zama maji ukerewe
 
Mtapata tabu sana na Chadema, eti sio kufa kama binadamu ruksa kubadilika kama kinyonga.


Siku hizi Mbona mmekuwa Wapole sio Kama enzi Za Mkwere?

Mkwere angewaambia Marufuku Mikutano ya Kisiasa mngetii Kama mnavyomtii Mwenye heri John Magufuli?
 
Upinzani hautakufa lakini si chadema. Wameshupaza shingo kufanya mabadiliko. Chadema inafutika kwa staili ile ile ya NCCR kwa tuliokuwa tunafatilia siasa tunakumbuka vyema.
Kwani wakati wa NCCR ulikuwepo peke yako ina maana wengine hatukuwepo, enzi za Mrema upinzani ulikuwa mchanga haukuwa na mbinu madhubuti wala resources za kupambana figisu za CCM, mihemuko ilizidi uhalisia.

Matatizo ya NCCR yalikuwa tofauti na ya Chadema intelijensia ya NCCR ilikuwa tofauti na intelijensia ya Chadema leo, vile vile kitaasisi huwezi kuilinganisha Chadema na NCCR ya kina Mrema na Marando.
 
Changamoto kubwa ya vyama vya siasa afrika ni kutojisahihisha. hivi vyama vinatumia falsafa ya kutetea wananchi kumbe ni magenge ya watu wachache kwa kivuli cha kutetea wanyonge. chadema walilewa umaarufu. changamoto yao kubwa wameshindwa kumaintain umaarufu.kila anayetoa mawazo tofauti na uongozi ni msaliti au ananunuliwa na ccm, japo suala la ccm kununua wapinzani lipo lakini lisijekuvunja haki za wanachama kuhoji mambo ya msingi kwa nguzo ya usaliti. binafsi mpaka sasa siijaona chama cha siasa cha kumkomboa mtanzania zaidi ya kuiba pesa za wanyonge kupitia ruzuku.
 
Siku hizi Mbona mmekuwa Wapole sio Kama enzi Za Mkwere?

Mkwere angewaambia Marufuku Mikutano ya Kisiasa mngetii Kama mnavyomtii Mwenye heri John Magufuli?
Politics is not static is dynamic, kila wakati na siasa zake, siasa za ustaarabu ni tofauti na siasa za kidikteta.
 
Politics is not static is dynamic, kila wakati na siasa zake, siasa za ustaarabu ni tofauti na siasa za udikteta.
Kwa hiyo kwenye Siasa Za kistaarabu ndio mnapiga mikwara kwenye Siasa Za kidikteta mnaufuata
 
Kwa hiyo kwenye Siasa Za kistaarabu ndio mnapiga mikwara kwenye Siasa Za kidikteta mnaufuata
Hayo sasa ni malumbano yasiyokuwa na hoja ndani yake tafuta swali au hoja nyingine nikujibu.
 
Sa kamakinakufa sindo utulie ushuhudie hicho kifo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…