Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 410
- 366
Habari JF
Nimeamua kufanya maandalizi ya kustaafu kabla ya muda na kuachana na hizi kazi za ofisini ndani ya miaka 5 ijayo. Hatua ya kwanza nimeona ni kununua shamba walau ekari 10 kwa ajili ya makazi pamoja na ufugaji(70%) na kilimo(30%).
Nitahamia shambani kabisa na kujenga nyumba huko kwa hiyo ardhi inabidi isiwe zaidi ya km 10 kutoka barabarani.
shida inakuja kwenye kupata shamba lisilo na migogoro, au kuuziwa shamba la mtu/serikali, na pia kuepuka madalali wenye njaa kali.
Ni njia zipi naweza kutumia ili kupata shamba zuri na kwa bei nzuri hasa kwenye maeneo ya kibaha, mkuranga, bagamoyo, mikese, dumila, mlandizi, na maeneo ambayo si zaidi ya masaa 5 kuja DSM.
Asanteni kwa ushauri
Nimeamua kufanya maandalizi ya kustaafu kabla ya muda na kuachana na hizi kazi za ofisini ndani ya miaka 5 ijayo. Hatua ya kwanza nimeona ni kununua shamba walau ekari 10 kwa ajili ya makazi pamoja na ufugaji(70%) na kilimo(30%).
Nitahamia shambani kabisa na kujenga nyumba huko kwa hiyo ardhi inabidi isiwe zaidi ya km 10 kutoka barabarani.
shida inakuja kwenye kupata shamba lisilo na migogoro, au kuuziwa shamba la mtu/serikali, na pia kuepuka madalali wenye njaa kali.
Ni njia zipi naweza kutumia ili kupata shamba zuri na kwa bei nzuri hasa kwenye maeneo ya kibaha, mkuranga, bagamoyo, mikese, dumila, mlandizi, na maeneo ambayo si zaidi ya masaa 5 kuja DSM.
Asanteni kwa ushauri