Siku ukiona unasonsomola na halisonsomeleki ujue sio embe dodo hilo. Ni embe ng'ong'o! Nyonya tu yaishe.
Sasa embe dodo limeiva vizuri unaambiwa ule na chumvi! Huyu kazoea vidaku!
hajui kwamba hizo nazo ni kind of jokes.Tatizo lako moja tu. Akili zako zimekaa kishari shari. Sisi tuko Tanzania bwana nchi ya amani na upendo.
mhhh hii yako ndo naisikia!!! Hebu nipe ujuzi wa kula kokwa kwa chumvi...pengine ni kitu kipya hiki atu....Chumvi inatiwa kwenye kokwa lake.
mhhh hii yako ndo naisikia!!! Hebu nipe ujuzi wa kula kokwa kwa chumvi...pengine ni kitu kipya hiki atu....
lols
Eeeh hadi nimeishiwa nguvu, Eee Jehova watazame vijana hawa.Toa ulimi wako taratibu. Ufanye uwe mwembamba, pitisha kwenye kiini chake huku ukizungusha ulimi kama unaandika namba nane, fumba macho kwa mda wa dakika tatu huku ukiramba kokwa. Fumbua macho kwa sekunde kadhaa then fumba macho tena. Utakapo una kuwa kokwa imeanza kutoa maji endelea kama dakika kadhaa then anza kula embe zima uliloliweka kwenye sahani safi.
comment yako imenitatanishaEhee niambie umeishiwa nguvu kwanini?
Aah bac km vp potezeaBado sijakuelewa hebu fafanua zaidi au vipi?
ok nways comment yko ya mwsho ulotoa cjui niseme imenifurahsha or whatever inshort nime enjoy kuisoma.Hili ndio tatizo sasa nipotezee kwanini pretty?
Hlo tu? shaka ondoa nakuwekea guarantee ya like 20per week.Nigongee like basi pretty
Hii sio simulizi hili ni fundisho la jinsi ya kula embe dodo lililo iva, sawa kaka?