asante mkuu..nimefanikiwa hata mimi maana ilikuwa inanizingua kwenye kuweka tarehe...thanx.. Lakini mbona hawajaweka kuhamisha muda wa maongezi kwa upande wa tigo??Ukisha bonyeza *150*03# then ok itakwambia hujajisajiri so utachagua kujisajili either kiswahili au kiinglish. Itakwambia uingize namba za kwenye kadi yako ya ATM,hlf utaingiza trh ya mwsho ya ukomo wa matumizi ya kadi yako..mfano ni tarh 11 mwezi wa 8 utaingiza 1108 bila kuongeza chchte then utaendelea...
usalama wa account za wateja umewekwa sawa au ndiyo fedha zawatu zitaznza kuchakachuliwa bila wenyewe kufahamu naomba mwenye ufahamu anitoe wasiwasi.Wakuu naomba msaada wa namna ya kujisajili na huduma ya kuaccess taarifa za akaunti ya CRDB kupitia simu. Nipo wilaya isiyo na benki ya crdb kikazi na nahitaji kujua kama mwajiri wangu kaniingizia kamshahara kangu! Asanteni..
Kweli kabisa waweke wazi na namna ya kujitoa.....Hapo ndi shida inapoanzia! Ni vema wakaweka wazi pia na utaratibu wa kujitoa....tulisikia humu watu wanalalama jinsi wanavyokatwa pesa na makumpuni ya simu na kujitoa inakuwa ngumu.
Kweli voda hazikubali, nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio hadi nilipobadili laini ya airtel ndio ikakubali..
Ukisha bonyeza *150*03# then ok itakwambia hujajisajiri so utachagua kujisajili either kiswahili au kiinglish. Itakwambia uingize namba za kwenye kadi yako ya ATM,hlf utaingiza trh ya mwsho ya ukomo wa matumizi ya kadi yako..mfano ni tarh 11 mwezi wa 8 utaingiza 1108 bila kuongeza chchte then utaendelea...
Labda "zinachagua" line!
ila kumbuka vodacom wanakucharge tzs 18 kila baada ya sekunde 15 unazokuwa unatumia hiyo mobile banking yako
usalama wa account za wateja umewekwa sawa au ndiyo fedha zawatu zitaznza kuchakachuliwa bila wenyewe kufahamu naomba mwenye ufahamu anitoe wasiwasi.
habali zenu wakuu... Mimi nipo nmb sasa nataka na CRDB sasa nii inakuwaje taratibu zake kitambulisho cha kula kipo......naombeni mnielekeze kwanza kabla sijaenda ofisini kwao....Ahsanteni .....
Thanks mkuu. Lakini vipi kuhusu usalama wa hii huduma,watu hawajawahi kulia?