Namna ya Kujisajili na CRDB SIM banking.

Namna ya Kujisajili na CRDB SIM banking.

Samahani wakuu namba ya kadi ya benki ni ipi maana naona kuna group la namba kama 4 hivi au ndo account number

Zile namba nyingi nying ambazo zipo 16, zimetengwa nne nne
 
Ni zile tarakimu 16 zinazoonekana kwnye uso wa kadi yako.
Samahani wakuu namba ya kadi ya benki ni ipi maana naona kuna group la namba kama 4 hivi au ndo account number
 
Nimeona haya matangazo ya SIM banking na hata muingiliano wake na M-PESA, Tigo Pesa etc lakini hawaweki bayana gharama zake/cost implications. Je ni subscription based (kwamba kila mwezi unakatwa na kiwango gani) au unalipa kwa idadi ya miamala unayofanya au kwa kiwango cha pesa unachotuma? Kama kuna mtu aayejua, please tujuzeni.
 
Nimeona haya matangazo ya SIM banking na hata muingiliano wake na M-PESA, Tigo Pesa etc lakini hawaweki bayana gharama zake/cost implications. Je ni subscription based (kwamba kila mwezi unakatwa na kiwango gani) au unalipa kwa idadi ya miamala unayofanya au kwa kiwango cha pesa unachotuma? Kama kuna mtu aayejua, please tujuzeni.
Swali la msingi ni costs zao. Kwa mi sijiungi mpaka ntakapojua fee zao.
 
haina monthly charges mkuu..gharama kwa kila muamala wa kuhamisha pesa ni tsh 1,000 na unapoanza kuaccess menu yao pia unalipa tsh 15 kwa sekunde 20
Nimeona haya matangazo ya SIM banking na hata muingiliano wake na M-PESA, Tigo Pesa etc lakini hawaweki bayana gharama zake/cost implications. Je ni subscription based (kwamba kila mwezi unakatwa na kiwango gani) au unalipa kwa idadi ya miamala unayofanya au kwa kiwango cha pesa unachotuma? Kama kuna mtu aayejua, please tujuzeni.
 
Ni kweli nilipitiwa mkuu nimerekebisha tyr...nahesabu hela hapa so nilichanganya kdg hahahaaa
Kuamisha muamara tsh 10,000? Hope utakuwa umepitiwa mkuu!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
haina monthly charges mkuu..gharama kwa kila muamala wa kuhamisha pesa ni tsh 1,000 na unapoanza kuaccess menu yao pia unalipa tsh 15 kwa sekunde 20

Niliaccess menu yao mara 2 na bank statement inaonyesha nimekatwa tsh 100 kila nilipoingia!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Samahani wakuu namba ya kadi ya benki ni ipi maana naona kuna group la namba kama 4 hivi au ndo account number

Namba ya card ni hizo 16 digits zilizo mbele. Pia, inabidi ukamilishe huo mchakato wa kujaza ndani ya the shortest time possible, otherwise, application ina time out.
 
Niliaccess menu yao mara 2 na bank statement inaonyesha nimekatwa tsh 100 kila nilipoingia!
Hapo ndi shida inapoanzia! Ni vema wakaweka wazi pia na utaratibu wa kujitoa....tulisikia humu watu wanalalama jinsi wanavyokatwa pesa na makumpuni ya simu na kujitoa inakuwa ngumu.
 
Overall, ni concept nzuri na inarahisisha maisha sana. Lakini ni vema wakaangalia charges zao!
 
Ingekuwa vizuri kama hela ikiingia kwenye akaunti yako kama vile mshahara au kuwekewa na mtu mwingine unapata taarifa kupitia sms. Naona ukitoa hela tu ndiyo unapewa taarifa.
 
Back
Top Bottom