Wakuu naomba msaada wa namna ya kujisajili na huduma ya kuaccess taarifa za akaunti ya CRDB kupitia simu. Nipo wilaya isiyo na benki ya crdb kikazi na nahitaji kujua kama mwajiri wangu kaniingizia kamshahara kangu! Asanteni..
Ingiza *150*03# kwenye simu yako na utapata maelekezo ya kufuata.
Hii ni kwa laini yoyote ya simu?
Wakuu naomba msaada wa namna ya kujisajili na huduma ya kuaccess taarifa za akaunti ya CRDB kupitia simu. Nipo wilaya isiyo na benki ya crdb kikazi na nahitaji kujua kama mwajiri wangu kaniingizia kamshahara kangu! Asanteni..
Asante nimefanikiwa kwa laini yangu ya airtel..Ukisha bonyeza *150*03# then ok itakwambia hujajisajiri so utachagua kujisajili either kiswahili au kiinglish. Itakwambia uingize namba za kwenye kadi yako ya ATM,hlf utaingiza trh ya mwsho ya ukomo wa matumizi ya kadi yako..mfano ni tarh 11 mwezi wa 8 utaingiza 1108 bila kuongeza chchte then utaendelea...
Kweli voda hazikubali, nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio hadi nilipobadili laini ya airtel ndio ikakubali..Voda hazikubali!
Voda hazikubali!
Ukisha bonyeza *150*03# then ok itakwambia hujajisajiri so utachagua kujisajili either kiswahili au kiinglish. Itakwambia uingize namba za kwenye kadi yako ya ATM,hlf utaingiza trh ya mwsho ya ukomo wa matumizi ya kadi yako..mfano ni tarh 11 mwezi wa 8 utaingiza 1108 bila kuongeza chchte then utaendelea...
Kwenye language selection unafanyaje kuchagua 1,2 au tatu? Unajibu kama message au unabonyeza tu number?Kweli voda hazikubali, nimejaribu mara kadhaa bila mafanikio hadi nilipobadili laini ya airtel ndio ikakubali..
Kwenye language selection unafanyaje kuchagua 1,2 au tatu? Unajibu kama message au unabonyeza tu number?
Usinichoke maana sijasajili huduma yoyote kati ya hizo hivyo kwa majibu yako bado mimi ni mbumbumbu.ni kama unavyotumia mpesa au tigo pesa au airtel money..
Kwenye language selection unafanyaje kuchagua 1,2 au tatu? Unajibu kama message au unabonyeza tu number?
huenda...Labda "zinachagua" line!
Voda hazikubali!