kha jamani msitufanyie hivyoTena cha kufanya tafuta hela kwa juhudi na maarifa. Atakutafuta yeye halafu unamwonja na kumpiga chini, au kumchinjia baharini kabisa tusijuane.
vyote ivyo ni kudengua kwan wanawake hamwajui huwa wapend kuonekana wanachukulika kirahic..sasa ussumbufu km uwo kawaida mkuu..na kama unamuhitaji kwel izo ni changamoto ndogo..ila km unataka umpige dusshe tu bac mwache ila km unataka aje kuwa ktk malengo yko..usichoke watu wanafatilia dem mwaka bhn..kwan. vitu hujawah kusikia..mi shemej yenu aisee nilimfukizia kwa mwaka mzima ndo anakubal tuwe pamoja....lkn ndo mke bora kwang..kwaiyo mkuu izo changamoto tu.. akikuletew njia hii we mtafutie njianyingne bac.hapokei cmu
ajibu sms
hataki kuonana
akiona unamsumbua zaidi anakwambia ana mtu wake hapo unakomaaje sasa ka sio kuonekana chizi
ivi kwan yeye hana feeling inakuawaje akutese ivo mwaka mzima eti asionekana mrahisivyote ivyo ni kudengua kwan wanawake hamwajui huwa wapend kuonekana wanachukulika kirahic..sasa ussumbufu km uwo kawaida mkuu..na kama unamuhitaji kwel izo ni changamoto ndogo..ila km unataka umpige dusshe tu bac mwache ila km unataka aje kuwa ktk malengo yko..usichoke watu wanafatilia dem mwaka bhn..kwan. vitu hujawah kusikia..mi shemej yenu aisee nilimfukizia kwa mwaka mzima ndo anakubal tuwe pamoja....lkn ndo mke bora kwang..kwaiyo mkuu izo changamoto tu.. akikuletew njia hii we mtafutie njianyingne bac.
Asante nimepata point apo...Usikate tamaa km kweli umempenda kwa dhati sidhani km Utachoka ku.muelezea hisia zako ila km ndiyo chapa ilale mpotezee, na km unania nae jaribu Kumchunguza vitu gani anapenda unampelekea vizawadi zawadi vya kumshawis onesha kumjali, alfu asilimia kubwa sisi wanawake tuna aibu sasa ukinitongoza leo kesho kesho kutwa siwezi kukubali haraka hata km nimekupenda,, kuogopa kuonekana mrahisi kwahiyo unaendelea kumsumbua km ukiona bado anakaza anakaza ujue kweli hutakiwa
Na demu naye akiwa na hela utatafuta bunduki?Tafuta ela kijana ukiwa nazo kibuti utakisikia Jamii forums tu
Mkataba si uliisha wa mapenzi. Kwa hiyo hata kusalimianaKwani na yeye akinipenda atapungukiwa nn?
mkuu feelings anazo tena wanawake ndo wanafeelings kubwa sana ila lazm akupime kwanza km ni mtu sahihi kwake kwaiyo unakua ktk uangaliz ndo mana anajaribu kukukatisha tamaa .na kama ataona hukati tamaa bdo uko nae ndo hpo sasa atakapo jiaminisha kuwe ww ndo mtu makin kwake umeweza kuvuka vikwazo na mitiahan aliyokupa bila ya ww kujua l.ivi kwan yeye hana feeling inakuawaje akutese ivo mwaka mzima eti asionekana mrahisi
nani alisema kama mwanawake lazima akuangaishe ifike kipindi kama anakupenda aseme pia kama hakutaki aseme pia hayo ya kwenda mwaka ni kumforce mtu tu