Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 8,247
- 12,766
Mkuu umefanya vizuri na ubarikiwe Ila hiki kitabu imetumika France language .
Ikiwa utakuwa na Version ya kiingereza au kiarabu tupatie hapa
Asante .
Mkuu umefanya vizuri na ubarikiwe Ila hiki kitabu imetumika France language .
Ikiwa utakuwa na Version ya kiingereza au kiarabu tupatie hapa
Asante .
Asante pia kushukuru, tayari nimepata version ya kiingereza, kitabu baada😅Asante mkuu
Without hao 'EVERYBODY', hao 'WACHACHE' hawana nguvu, hawana msingi, wala hawana maana. Wachache hujengwa na wengi; bila wote, hakuna wachache wa kujivunia.Tunahitaji watu wachache Sana not everybody
This 👆ni kweli kabisa 100%That was a universe language , binadamu anaweza kufa spiritually then akaja kufa physically .
Hapo kwenye 25 na 65 ufafanuzi tafathali mpwaSalute kaka,
Mambo kama haya yalishanitokea almost nife! Exclude lust b'se sina roho ya uzinzi/uasherati.
Nilikuwa napata taarifa kupitia ndoto ila nilinpay anttetion sana kwa sala, maombi na zaka.
Kuna watu hufa na miaka 25 na kuja kuzikwa wakiwa na miaka 65.
True true
Kabisa mkuuUnataka riwaya mkuu?
Naunga mkono hojaMkuu unajaribu kuweka maana kwenye kitu ambacho hakina maana.
Hapa duniani outcome ni moja tuu kwa kila mtu - KIFO!
Ule vitoto vya afu 2 - utakufa
Usile vitoto vya afu 2 - utakufa
Ukate tamaa - utakufa
Usikate tamaa - utakufa
Ufanye unachokipenda - utakufa
Ufanye usichokipenda - utakufa
Uchukie watu - utakufa
Upende watu - utakufa
Uwe mlevi - utakufa
Usiwe mlevi - utakufa
Ufanye mazoezi - utakufa
Usifanye mazoezi - utakufa
Ule wake za watu - utakufa
Usile wake za watu - utakufa
Ufanye kila kitu - utakufa
Usifanye chochote - utakufa..!
Everyone's death is near.
No escape.
Kuna ukweli hapaMiezi miwili Jamaa alipata ajali ya boda boda , aligongwa .
Yeye alikuwa bodaboda , akazimia na aligongwa na bodaboda mwenzake .
Then Juzi Sabasaba Jamaa aligongwa na V8 na akasagwa na roll.
Maana yake alipogongwa na kuzimia he could stepdown na kuanza kuangalia mambo mengine na kuachana na Kazi ya pikipiki.
Huyu jamaa before his death , Kama miaka 7 nyuma alipoteza Umakini akawana anatongoza watoto wadogo ambao hawalingani na age yake.
Kufanya Sana uzinzi .
Kuwa na negativity and so on
So to me that was a universe language , binadamu anaweza kufa spiritually then akaja kufa physically .
Dalili za kufa , huwa zinaambatana na pale unapokuwa blindness , kukata tamaa, kuchukia watu na kuwa destroyers.
So ukiwa unaishi na unafanya usichokipenda katika nafsi yako jaribu kuacha .
Na ukiona umekataa tamaa na ur no longer feeling alive , fahamu tu usipoacha hizo you will die ASAP
Na ukiona ur matured enough but ur chasing , young girls , and ur dominated by lusting thoughts
Just know ur death is near .
Most of people huwa hawajui kumsoma MTU na kujua either his days are numbered or not
Ana sonona au hana
Riwaya za kueleweka bwashee ngoswe hizo za watoto 😁😁😁View attachment 3399342
Chagua hapo
Hekaya na yenyewe ya kitoto?Riwaya za kueleweka bwashee ngoswe hizo za watoto 😁😁😁
Na hilo ndo jibuMkuu unajaribu kuweka maana kwenye kitu ambacho hakina maana.
Hapa duniani outcome ni moja tuu kwa kila mtu - KIFO!
Ule vitoto vya afu 2 - utakufa
Usile vitoto vya afu 2 - utakufa
Ukate tamaa - utakufa
Usikate tamaa - utakufa
Ufanye unachokipenda - utakufa
Ufanye usichokipenda - utakufa
Uchukie watu - utakufa
Upende watu - utakufa
Uwe mlevi - utakufa
Usiwe mlevi - utakufa
Ufanye mazoezi - utakufa
Usifanye mazoezi - utakufa
Ule wake za watu - utakufa
Usile wake za watu - utakufa
Ufanye kila kitu - utakufa
Usifanye chochote - utakufa..!
Everyone's death is near.
No escape.
Kama unasoma Riwaya muungushe Mtibeli anazo anauza MkuuRiwaya za kueleweka bwashee ngoswe hizo za watoto 😁😁😁
Sawa mkuuKama unasoma Riwaya muungushe Mtibeli anazo anauza Mkuu