DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,677
- 81,640
Vifo vya Africa ukifatilia vinasababishwa na uzembe na mazingira duni ya hospatili na ajaliNa huu ndio ukweli
Hata ukiangalia ajali zetu nyingi zinasababishwa na kukosa umakini na poor infrastructures.
Mfano ikiwa Serikali imeona bodaboda ni ajira rasmi kwa Vijana inabidi kuandaa mazingira rafiki .
Mfano tunaweza kutanua kwa pembeni tukaweka njia ya watembea kwa miguu , njia ya boadaboda yaani sehemu yanakopita Magari ikawa tofauti na wanakopita bodaboda.