Knock life
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 2,468
- 7,735
Miezi miwili Jamaa alipata ajali ya boda boda , aligongwa .
Yeye alikuwa bodaboda , akazimia na aligongwa na bodaboda mwenzake .
Then Juzi Sabasaba Jamaa aligongwa na V8 na akasagwa na roll.
Maana yake alipogongwa na kuzimia he could stepdown na kuanza kuangalia mambo mengine na kuachana na Kazi ya pikipiki.
Huyu jamaa before his death , Kama miaka 7 nyuma alipoteza Umakini akawana anatongoza watoto wadogo ambao hawalingani na age yake.
Kufanya Sana uzinzi .
Kuwa na negativity and so on
So to me that was a universe language , binadamu anaweza kufa spiritually then akaja kufa physically .
Dalili za kufa , huwa zinaambatana na pale unapokuwa blindness , kukata tamaa, kuchukia watu na kuwa destroyers.
So ukiwa unaishi na unafanya usichokipenda katika nafsi yako jaribu kuacha .
Na ukiona umekataa tamaa na ur no longer feeling alive , fahamu tu usipoacha hizo you will die ASAP
Na ukiona ur matured enough but ur chasing , young girls , and ur dominated by lusting thoughts
Just know ur death is near .
Most of people huwa hawajui kumsoma MTU na kujua either his days are numbered or not
Ana sonona au hana
Yeye alikuwa bodaboda , akazimia na aligongwa na bodaboda mwenzake .
Then Juzi Sabasaba Jamaa aligongwa na V8 na akasagwa na roll.
Maana yake alipogongwa na kuzimia he could stepdown na kuanza kuangalia mambo mengine na kuachana na Kazi ya pikipiki.
Huyu jamaa before his death , Kama miaka 7 nyuma alipoteza Umakini akawana anatongoza watoto wadogo ambao hawalingani na age yake.
Kufanya Sana uzinzi .
Kuwa na negativity and so on
So to me that was a universe language , binadamu anaweza kufa spiritually then akaja kufa physically .
Dalili za kufa , huwa zinaambatana na pale unapokuwa blindness , kukata tamaa, kuchukia watu na kuwa destroyers.
So ukiwa unaishi na unafanya usichokipenda katika nafsi yako jaribu kuacha .
Na ukiona umekataa tamaa na ur no longer feeling alive , fahamu tu usipoacha hizo you will die ASAP
Na ukiona ur matured enough but ur chasing , young girls , and ur dominated by lusting thoughts
Just know ur death is near .
Most of people huwa hawajui kumsoma MTU na kujua either his days are numbered or not
Ana sonona au hana