Namna ya kuelewa Universe Language

Namna ya kuelewa Universe Language

Knock life

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2024
Posts
2,468
Reaction score
7,735
Miezi miwili Jamaa alipata ajali ya boda boda , aligongwa .

Yeye alikuwa bodaboda , akazimia na aligongwa na bodaboda mwenzake .

Then Juzi Sabasaba Jamaa aligongwa na V8 na akasagwa na roll.

Maana yake alipogongwa na kuzimia he could stepdown na kuanza kuangalia mambo mengine na kuachana na Kazi ya pikipiki.

Huyu jamaa before his death , Kama miaka 7 nyuma alipoteza Umakini akawana anatongoza watoto wadogo ambao hawalingani na age yake.

Kufanya Sana uzinzi .

Kuwa na negativity and so on

So to me that was a universe language , binadamu anaweza kufa spiritually then akaja kufa physically .

Dalili za kufa , huwa zinaambatana na pale unapokuwa blindness , kukata tamaa, kuchukia watu na kuwa destroyers.


So ukiwa unaishi na unafanya usichokipenda katika nafsi yako jaribu kuacha .

Na ukiona umekataa tamaa na ur no longer feeling alive , fahamu tu usipoacha hizo you will die ASAP

Na ukiona ur matured enough but ur chasing , young girls , and ur dominated by lusting thoughts

Just know ur death is near .

Most of people huwa hawajui kumsoma MTU na kujua either his days are numbered or not

Ana sonona au hana
 
Miezi miwili Jamaa alipata ajali ya boda boda , aligongwa .

Yeye alikuwa bodaboda , akazimia na aligongwa na bodaboda mwenzake .

Then Juzi Sabasaba Jamaa aligongwa na V8 na akasagwa na roll.

Maana yake alipogongwa na kuzimia he could stepdown na kuanza kuangalia mambo mengine na kuachana na Kazi ya pikipiki.

Huyu jamaa before his death , Kama miaka 7 nyuma alipoteza Umakini akawana anatongoza watoto wadogo ambao hawalingani na age yake.

Kufanya Sana uzinzi .

Kuwa na negativity and so on

So to me that was a universe language , binadamu anaweza kufa spiritually then akaja kufa physically .

Dalili za kufa , huwa zinaambatana na pale unapokuwa blindness , kukata tamaa, kuchukia watu na kuwa destroyers.


So ukiwa unaishi na unafanya usichokipenda katika nafsi yako jaribu kuacha .

Na ukiona umekataa tamaa na ur no longer feeling alive , fahamu tu usipoacha hizo you will die ASAP

Na ukiona ur matured enough but ur chasing , young girls , and ur dominated by lusting thoughts

Just know ur death is near .

Most of people huwa hawajui kumsoma MTU na kujua either his days are numbered or not

Ana sonona au hana
Kwa upande wangu huwa napenda mada kama hizi mtu aandike kwa hoja nzito.
 
Miezi miwili Jamaa alipata ajali ya boda boda , aligongwa .

Yeye alikuwa bodaboda , akazimia na aligongwa na bodaboda mwenzake .

Then Juzi Sabasaba Jamaa aligongwa na V8 na akasagwa na roll.

Maana yake alipogongwa na kuzimia he could stepdown na kuanza kuangalia mambo mengine na kuachana na Kazi ya pikipiki.

Huyu jamaa before his death , Kama miaka 7 nyuma alipoteza Umakini akawana anatongoza watoto wadogo ambao hawalingani na age yake.

Kufanya Sana uzinzi .

Kuwa na negativity and so on

So to me that was a universe language , binadamu anaweza kufa spiritually then akaja kufa physically .

Dalili za kufa , huwa zinaambatana na pale unapokuwa blindness , kukata tamaa, kuchukia watu na kuwa destroyers.


So ukiwa unaishi na unafanya usichokipenda katika nafsi yako jaribu kuacha .

Na ukiona umekataa tamaa na ur no longer feeling alive , fahamu tu usipoacha hizo you will die ASAP

Na ukiona ur matured enough but ur chasing , young girls , and ur dominated by lusting thoughts

Just know ur death is near .

Most of people huwa hawajui kumsoma MTU na kujua either his days are numbered or not

Ana sonona au hana
Salute kaka,
Mambo kama haya yalishanitokea almost nife! Exclude lust b'se sina roho ya uzinzi/uasherati.
Nilikuwa napata taarifa kupitia ndoto ila nilinpay anttetion sana kwa sala, maombi na zaka.
Kuna watu hufa na miaka 25 na kuja kuzikwa wakiwa na miaka 65.
True true
 
Miezi miwili Jamaa alipata ajali ya boda boda , aligongwa .

Yeye alikuwa bodaboda , akazimia na aligongwa na bodaboda mwenzake .

Then Juzi Sabasaba Jamaa aligongwa na V8 na akasagwa na roll.

Maana yake alipogongwa na kuzimia he could stepdown na kuanza kuangalia mambo mengine na kuachana na Kazi ya pikipiki.

Huyu jamaa before his death , Kama miaka 7 nyuma alipoteza Umakini akawana anatongoza watoto wadogo ambao hawalingani na age yake.

Kufanya Sana uzinzi .

Kuwa na negativity and so on

So to me that was a universe language , binadamu anaweza kufa spiritually then akaja kufa physically .

Dalili za kufa , huwa zinaambatana na pale unapokuwa blindness , kukata tamaa, kuchukia watu na kuwa destroyers.


So ukiwa unaishi na unafanya usichokipenda katika nafsi yako jaribu kuacha .

Na ukiona umekataa tamaa na ur no longer feeling alive , fahamu tu usipoacha hizo you will die ASAP

Na ukiona ur matured enough but ur chasing , young girls , and ur dominated by lusting thoughts

Just know ur death is near .

Most of people huwa hawajui kumsoma MTU na kujua either his days are numbered or not

Ana sonona au hana
Mkuu unajaribu kuweka maana kwenye kitu ambacho hakina maana.

Hapa duniani outcome ni moja tuu kwa kila mtu - KIFO!

Ule vitoto vya afu 2 - utakufa
Usile vitoto vya afu 2 - utakufa
Ukate tamaa - utakufa
Usikate tamaa - utakufa
Ufanye unachokipenda - utakufa
Ufanye usichokipenda - utakufa
Uchukie watu - utakufa
Upende watu - utakufa
Uwe mlevi - utakufa
Usiwe mlevi - utakufa
Ufanye mazoezi - utakufa
Usifanye mazoezi - utakufa
Ule wake za watu - utakufa
Usile wake za watu - utakufa
Ufanye kila kitu - utakufa
Usifanye chochote - utakufa..!

Everyone's death is near.
No escape.
 
Kwa mtazamo inawezekana alipitia negative wave hiyo huwa inatokea .

Yaani inakuwa hivi , Unagombana na mkeo , unafukuzwa Kazi , unafiwa na mzazi , na haujakaa sawa unapata ugonjwa wa kukulaza ndani.

Kitalaamu tunashauriwa kuwa na Shukurani hasa unapoona umepata changamoto don't complain Ila shukuru hii ni njia ya Ku heal negative wave na kuwa na well being.

Na ukiwa ni MTU wa kujifunza kila tatizo unalopata you gonna become smarter .

Mfano alivyopata ajali ya kusababishiwa hiyo ilikuwa wake up call kuwa hapa Bongo watu hawapo makini Sana so I have to look another way of making money.


Na Kama unavyojua Kazi nyingi bongo tumezisomea na nyingine tunfanya kwakuwa we had no better option in life .

Hivyo ukijikuta umekuwa bodaboda rider don't hate that job and living with grudge. Ila jiwekee goals kuwa I have to find another way of life .
 
Mkuu unajaribu kuweka maana kwenye kitu ambacho hakina maana.

Hapa duniani outcome ni moja tuu kwa kila mtu - KIFO!

Ule vitoto vya afu 2 - utakufa
Usile vitoto vya afu 2 - utakufa
Ukate tamaa - utakufa
Usikate tamaa - utakufa
Ufanye unachokipenda - utakufa
Ufanye usichokipenda - utakufa
Uchukie watu - utakufa
Upende watu - utakufa
Uwe mlevi - utakufa
Usiwe mlevi - utakufa
Ufanye mazoezi - utakufa
Usifanye mazoezi - utakufa
Ule wake za watu - utakufa
Usile wake za watu - utakufa
Ufanye kila kitu - utakufa
Usifanye chochote - utakufa..!

Everyone's death is near.
No escape.
Kweli kabisa huwezi kucheat Kifo.
 
Mkuu unajaribu kuweka maana kwenye kitu ambacho hakina maana.

Hapa duniani outcome ni moja tuu kwa kila mtu - KIFO!

Ule vitoto vya afu 2 - utakufa
Usile vitoto vya afu 2 - utakufa
Ukate tamaa - utakufa
Usikate tamaa - utakufa
Ufanye unachokipenda - utakufa
Ufanye usichokipenda - utakufa
Uchukie watu - utakufa
Upende watu - utakufa
Uwe mlevi - utakufa
Usiwe mlevi - utakufa
Ufanye mazoezi - utakufa
Usifanye mazoezi - utakufa
Ule wake za watu - utakufa
Usile wake za watu - utakufa
Ufanye kila kitu - utakufa
Usifanye chochote - utakufa..!

Everyone's death is near.
No escape.
Na huu ndio ukweli
 
Back
Top Bottom