Uchaguzi 2020 Namna ya kudhibiti uwepo wa vituo hewa/bubu vya kupigia kura katika uchaguzi mkuu - 2020

Alafu ujaeleza kwenye majumuisho ya kura za udiwani,Ubunge na Urais hizo kura za vituo hewa zitapenyezwaje,ilhali mawakala wakuu wa majumuisho wana nakala za matokeo za kila kituo cha kupigia kura na Ballot box zipo mbele yao wanaziona huku majumisho yakiendelea.
Hata hivo vituo hewa vinaweza kuwa na mawakala wa ccm na fomu zao kabisa
 
2. Kila mgombea ahakiki uwepo wa vituo hivyo kimoja baada ya kingine katika kata yake...
Nadhani hii ndo njia Bora ya kwanza. Kila mgombea wa udiwani na ubunge afike kwa kila kituo physically, sio kuhadithiwa. Vituo hewa huwa havipo popote ila vipo kwny makabrasha ya wezi wa kura. Kwa njia hii watavibaini tuu
 
Nadhani hii ndo njia Bora ya kwanza. Kila mgombea wa udiwani na ubunge afike kwa kila kituo physically, sio kuhadithiwa. Vituo hewa huwa havipo popote ila vipo kwny makabrasha ya wezi wa kura. Kwa njia hii watavibaini tuu
KULE AMBAKO CCM WALISHIRIKIANA NA NEC KUNYOFOA MAPEMA WAGOMBEA WA CHADEMA ITAKUWAJE?
 
Sasa naan
Ndugu zangu wana JF;

CCM wamejiapiza kuwa John Pombe Magufuli ni lazima ashinde tu uchaguzi huu wa mwaka huu either by hooks or by crooks..

Wagombea wa CCM katika ngazi zote ikiwemo ya Urais, kwa utaratibu wa kawaida kama wakiachwa hivi hivi bila kusaidiwa kushinda kwa njia haramu za wizi wa kura, kwa hakika kabisa ni wachache sana wana uwezo wa kushinda katikati ya ushindani huu..

Kwa upande wa Urais, Magufuli hawezi kushinda kabisa, kabisa, kabisa..

Hili kila mtu anajua, wao CCM wanajua, wapambe wao kwenye mitandao kina Bia yetu, Nawatafuna, USSR, elitwege na wengine wanajua na Magufuli mwenyewe anajua kuwa hawezi kushinda bila kutenda dhambi ya wizi..!

SASA WANAFANYAJE ILI KUSHINDA?

1. Wanatengeneza karatasi za kupigia kura za ziada. Zinatiwa tick (√) kwa Magufuli. Zinakuwa kura zisizo halali..

Tetesi zinasema kuwa kuna karatasi za kura za namna hii zaidi 5,000,000 zimeandaliwa na kusambazwa nchi nzima..!!

2. Kutengeneza au kuandaa vitu vya kupigia kura visivyo rasmi maarufu kama hewa au feki. Lengo la vituo hivi ni kupitishia hizo kura zisizo halali ili ziwe halali sawa na zingine zitakazopigwa na wapiga kura rasmi..

3. Kuandaa wapiga kura wasio rasmi (ghost voters) na mbinu za kuwaingiza vutuoni kupiga kura zitaandaliwa na kusimamiwa kikamilifu. Ndiyo kuna sehemu zingine wanafunzi wa shule za sekondari walishawekwa tayari..

4. Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura ambao karibu 95% ni watumishi umma i.e walimu, manesi, maafisa ugani, watendaji vijiji/mitaa nk kupewa maelekezo maalumu kuwezesha kufanikisha zoezi hili muhimu la "kumshindisha John Pombe Magufuli" awe Rais tena..

Hawa watumishi, wameambiwa na kutishiwa kuwa kama kituo atakachosimamia itaonekana Tundu Lissu (CHADEMA) ameongoza kura kumzidi John Pombe (CCM), basi ajihesabu hana ama amejifukuzisha kazi..!!

NINI KIFANYIKE KUDHIBITI/KUPAMBANA NA HUJUMA NA MIKAKATI YA WIZI HUU WA KURA?

Ni rahisi sana..

Ni kuihamasisha NGUVU YA UMMA kuamka na kulinda HAKI YAO, MAAMUZI YAO..

Ni kuhakikisha wananchi wanajengewa awareness miongoni mwao ili wawe tayari kwa mapambano kulinda maamuzi yao..

Hata hivyo, hizi ni njia za jumla (universal) za kupambana na uhalifu huu dhidi ya demokrasia na uhuru wa watu wa kuchagua..

1. Kila mgombea wa udiwani (katika kata yake) na ubunge (katika jimbo lake) ahakikishe kuwa, ana orodha ya vituo halali vyote vya kupigia kura vilivyotolewa na kuidhinishwa na Tume ya uchaguzi pamoja na code number zake..

2. Kila mgombea ahakiki uwepo wa vituo hivyo kimoja baada ya kingine katika kata yake...

3. Kila mgombea udiwani na ubunge awe na orodha ya NEC ya vituo vyote vya kupigia kura katika kata ama jimbo lake siku ya majumuisho ya kura katani (kwa udiwani) au kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo - makao makuu ya halmashauri husika (kwa ubunge na Urais)..

4. Kila mgombea udiwani ama ubunge awe makini sana hatua kwa hatua siku ya majumuisho ya kura pale katani au kwa DED kwa sababu kitakuwa kinatajwa kituo kimoja baada ya kingine na idadi ya kura kwa kila mgombea..

Ikitokea anataja kituo cha kupigia kura ambacho hakiko kwenye orodha uliyonayo wewe iliyotolewa na NEC, moja kwa moja mnamkamata pale pale hadi athibitishe uhalali wa kituo hicho na kwanini hakipo kwenye orodha halali ya NEC..

5. Kila mgombea udiwani au ubunge ahakikishe kuwa kila kituo cha kupigia kura katika kata ama jimbo lake kuna wakala aggressive asiyeyumbishwa. Na ahakikishe kuwa anapata nakala ya fomu ya matokeo ya kura za kituo (udiwani, ubunge na Urais) kama ushahidi..

6. Kila mgombea udiwani na ubunge ahakikishe anazo na anaenda na fomu zote za matokeo ya kura kwa kila kituo siku ya majumuisho ya kura kwa msimamizi wa uchaguzi katani (udiwani) au jimbo (ubunge)..

Kama haya yatazingatiwa, wezi watadhibitiwa na washindi halali wa uchaguzi wa mwaka huu watatangazwa tu..!!
Sasa naanza kuelewa ni kwa nini walikuwa hawataki kutoa nakala za matokeo kwa mawakala
 
Nadhani hii ndo njia Bora ya kwanza. Kila mgombea wa udiwani na ubunge afike kwa kila kituo physically, sio kuhadithiwa. Vituo hewa huwa havipo popote ila vipo kwny makabrasha ya wezi wa kura. Kwa njia hii watavibaini tuu

Yes, huku akiwa na orodha yote rasmi ya vituo hivyo iliyotolewa na NEC katika kila kata au jimbo..

Vituo hewa siku zote havimo kwenye orodha rasmi ya NEC bali huandaliwa na wasimamizi wa uchaguzi wa majimbo huku NEC wakiwa na ufahamu huo na hivyo hubariki uharamia huo..
 
Kama mnalijua hilo kwanini sasa wapinzani mnakubali kuendelea na uchaguzi?
majuto ni mjukuu!

Kwa kuwa simba ni mnyama hatari mla nyama na ikitokea ameingia zizini kula ng'ombe au mbuzi wako..

Je, utasusa na hutachuchua hatua ya kumfukuza na ikibidi kumuua kabisa eti tu kwa sbb simba ni hstari na ni mla nyama?

Kama utasusa na kumtazama tu akiua wanyama wako mmoja baada ya mwingine, basu hakika kabisa wewe utakuwa ni mwendawazimu..!

Najua umenielewa na kama hujaelewa, sijui nikusaidieje ili uelewe..!;
 
Umesema vyema kabisaa watu wanahasira na ile roho ya WoGa hamna.

Nimeshuhudia maeneo Mengi watu wanasubiri polisi walianzishe watu wajibu mapigo.

Nashauri CCM waibe Kura kistaarabu sio kuiba wazi wazi italeta machafuko.
Mkuu mi sijui kipo kwenye Siri ya uongozi, we chunguza kuanzia kwenye wenye viti wa mtaa mtu akiingia hatamani toka, sijui ni afrika tu au na kwa wenzetu kwanini watu hutumia nguvu Sana baki badarakani,
Niliwai ona mwenyekiti wa Kijiji huko Tanga ,huyu bwana aliuza maeneo mengi ya Kijiji,alitafuna pesa nyingi za mnara wa sim zilizokua zinalipwa kwenye Kijiji, Sasa inasemekana alikua halali Kila kukicha ni kwa waganga asiachie hicho kiti ,yeyote alietokea kukitaka hicho kiti alipambana nae kwa Kila namna mpaka iliperekea kugawa Kijiji
Sasa najiuliza kwa Nini mtu akiwa kiongozi kwa Nini kuachia ngazi unakua mtiani,mpaka wavutane na mwisho wa siku unatoka na fedhea,
 
Ndugu zangu wana JF;

CCM wamejiapiza kuwa John Pombe Magufuli ni lazima ashinde tu uchaguzi huu wa mwaka huu either by hooks or by crooks..

Wagombea wa CCM katika ngazi zote ikiwemo ya Urais, kwa utaratibu wa kawaida kama wakiachwa hivi hivi bila kusaidiwa kushinda kwa njia haramu za wizi wa kura, kwa hakika kabisa ni wachache sana wana uwezo wa kushinda katikati ya ushindani huu..

Kwa upande wa Urais, Magufuli hawezi kushinda kabisa, kabisa, kabisa..

Hili kila mtu anajua, wao CCM wanajua, wapambe wao kwenye mitandao kina Bia yetu, Nawatafuna, USSR, elitwege na wengine wanajua na Magufuli mwenyewe anajua kuwa hawezi kushinda bila kutenda dhambi ya wizi..!

SASA WANAFANYAJE ILI KUSHINDA?

1. Wanatengeneza karatasi za kupigia kura za ziada. Zinatiwa tick (√) kwa Magufuli. Zinakuwa kura zisizo halali..

Tetesi zinasema kuwa kuna karatasi za kura za namna hii zaidi 5,000,000 zimeandaliwa na kusambazwa nchi nzima..!!

2. Kutengeneza au kuandaa vitu vya kupigia kura visivyo rasmi maarufu kama hewa au feki. Lengo la vituo hivi ni kupitishia hizo kura zisizo halali ili ziwe halali sawa na zingine zitakazopigwa na wapiga kura rasmi..

3. Kuandaa wapiga kura wasio rasmi (ghost voters) na mbinu za kuwaingiza vutuoni kupiga kura zitaandaliwa na kusimamiwa kikamilifu. Ndiyo kuna sehemu zingine wanafunzi wa shule za sekondari walishawekwa tayari..

4. Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura ambao karibu 95% ni watumishi umma i.e walimu, manesi, maafisa ugani, watendaji vijiji/mitaa nk kupewa maelekezo maalumu kuwezesha kufanikisha zoezi hili muhimu la "kumshindisha John Pombe Magufuli" awe Rais tena..

Hawa watumishi, wameambiwa na kutishiwa kuwa kama kituo atakachosimamia itaonekana Tundu Lissu (CHADEMA) ameongoza kura kumzidi John Pombe (CCM), basi ajihesabu hana ama amejifukuzisha kazi..!!

NINI KIFANYIKE KUDHIBITI/KUPAMBANA NA HUJUMA NA MIKAKATI YA WIZI HUU WA KURA?

Ni rahisi sana..

Ni kuihamasisha NGUVU YA UMMA kuamka na kulinda HAKI YAO, MAAMUZI YAO..

Ni kuhakikisha wananchi wanajengewa awareness miongoni mwao ili wawe tayari kwa mapambano kulinda maamuzi yao..

Hata hivyo, hizi ni njia za jumla (universal) za kupambana na uhalifu huu dhidi ya demokrasia na uhuru wa watu wa kuchagua..

1. Kila mgombea wa udiwani (katika kata yake) na ubunge (katika jimbo lake) ahakikishe kuwa, ana orodha ya vituo halali vyote vya kupigia kura vilivyotolewa na kuidhinishwa na Tume ya uchaguzi pamoja na code number zake..

2. Kila mgombea ahakiki uwepo wa vituo hivyo kimoja baada ya kingine katika kata yake...

3. Kila mgombea udiwani na ubunge awe na orodha ya NEC ya vituo vyote vya kupigia kura katika kata ama jimbo lake siku ya majumuisho ya kura katani (kwa udiwani) au kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo - makao makuu ya halmashauri husika (kwa ubunge na Urais)..

4. Kila mgombea udiwani ama ubunge awe makini sana hatua kwa hatua siku ya majumuisho ya kura pale katani au kwa DED kwa sababu kitakuwa kinatajwa kituo kimoja baada ya kingine na idadi ya kura kwa kila mgombea..

Ikitokea anataja kituo cha kupigia kura ambacho hakiko kwenye orodha uliyonayo wewe iliyotolewa na NEC, moja kwa moja mnamkamata pale pale hadi athibitishe uhalali wa kituo hicho na kwanini hakipo kwenye orodha halali ya NEC..

5. Kila mgombea udiwani au ubunge ahakikishe kuwa kila kituo cha kupigia kura katika kata ama jimbo lake kuna wakala aggressive asiyeyumbishwa. Na ahakikishe kuwa anapata nakala ya fomu ya matokeo ya kura za kituo (udiwani, ubunge na Urais) kama ushahidi..

6. Kila mgombea udiwani na ubunge ahakikishe anazo na anaenda na fomu zote za matokeo ya kura kwa kila kituo siku ya majumuisho ya kura kwa msimamizi wa uchaguzi katani (udiwani) au jimbo (ubunge)..

Kama haya yatazingatiwa, wezi watadhibitiwa na washindi halali wa uchaguzi wa mwaka huu watatangazwa tu..!!
Haya maneno kama ya Amsterdam kupitia kwa Lissu na ninyi mnayarudia humu mara wa mara kwa NIA OVU! Ngoja niwaambie kuwa hayo ni maneno ya mtu aliyeshindwa kama wafanyavyo wagombea urais huko USA, wakidai kuwa nchi za nje zinaingilia uchaguzi wao. Kila mmoja ana hofu ya kushindwa, kama Lissu, hivyo wanatafuta VISINGIZIO, kama ninyi na Lissu! Halafu msidhani kwa kusema maneno hayo kuna mtu anatishika. Hatishwi mtu hapa, ije mvua lije jua, aje Amsterdam, aje Bob,kipigo maridhawa kiko palepale. Check me on 29th or 30th October, 2020!
 
Ndugu zangu wana JF;

CCM wamejiapiza kuwa John Pombe Magufuli ni lazima ashinde tu uchaguzi huu wa mwaka huu either by hooks or by crooks..

Wagombea wa CCM katika ngazi zote ikiwemo ya Urais, kwa utaratibu wa kawaida kama wakiachwa hivi hivi bila kusaidiwa kushinda kwa njia haramu za wizi wa kura, kwa hakika kabisa ni wachache sana wana uwezo wa kushinda katikati ya ushindani huu..

Kwa upande wa Urais, Magufuli hawezi kushinda kabisa, kabisa, kabisa..

Hili kila mtu anajua, wao CCM wanajua, wapambe wao kwenye mitandao kina Bia yetu, Nawatafuna, USSR, elitwege na wengine wanajua na Magufuli mwenyewe anajua kuwa hawezi kushinda bila kutenda dhambi ya wizi..!

SASA WANAFANYAJE ILI KUSHINDA?

1. Wanatengeneza karatasi za kupigia kura za ziada. Zinatiwa tick (√) kwa Magufuli. Zinakuwa kura zisizo halali..

Tetesi zinasema kuwa kuna karatasi za kura za namna hii zaidi 5,000,000 zimeandaliwa na kusambazwa nchi nzima..!!

2. Kutengeneza au kuandaa vitu vya kupigia kura visivyo rasmi maarufu kama hewa au feki. Lengo la vituo hivi ni kupitishia hizo kura zisizo halali ili ziwe halali sawa na zingine zitakazopigwa na wapiga kura rasmi..

3. Kuandaa wapiga kura wasio rasmi (ghost voters) na mbinu za kuwaingiza vutuoni kupiga kura zitaandaliwa na kusimamiwa kikamilifu. Ndiyo kuna sehemu zingine wanafunzi wa shule za sekondari walishawekwa tayari..

4. Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura ambao karibu 95% ni watumishi umma i.e walimu, manesi, maafisa ugani, watendaji vijiji/mitaa nk kupewa maelekezo maalumu kuwezesha kufanikisha zoezi hili muhimu la "kumshindisha John Pombe Magufuli" awe Rais tena..

Hawa watumishi, wameambiwa na kutishiwa kuwa kama kituo atakachosimamia itaonekana Tundu Lissu (CHADEMA) ameongoza kura kumzidi John Pombe (CCM), basi ajihesabu hana ama amejifukuzisha kazi..!!

NINI KIFANYIKE KUDHIBITI/KUPAMBANA NA HUJUMA NA MIKAKATI YA WIZI HUU WA KURA?

Ni rahisi sana..

Ni kuihamasisha NGUVU YA UMMA kuamka na kulinda HAKI YAO, MAAMUZI YAO..

Ni kuhakikisha wananchi wanajengewa awareness miongoni mwao ili wawe tayari kwa mapambano kulinda maamuzi yao..

Hata hivyo, hizi ni njia za jumla (universal) za kupambana na uhalifu huu dhidi ya demokrasia na uhuru wa watu wa kuchagua..

1. Kila mgombea wa udiwani (katika kata yake) na ubunge (katika jimbo lake) ahakikishe kuwa, ana orodha ya vituo halali vyote vya kupigia kura vilivyotolewa na kuidhinishwa na Tume ya uchaguzi pamoja na code number zake..

2. Kila mgombea ahakiki uwepo wa vituo hivyo kimoja baada ya kingine katika kata yake...

3. Kila mgombea udiwani na ubunge awe na orodha ya NEC ya vituo vyote vya kupigia kura katika kata ama jimbo lake siku ya majumuisho ya kura katani (kwa udiwani) au kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo - makao makuu ya halmashauri husika (kwa ubunge na Urais)..

4. Kila mgombea udiwani ama ubunge awe makini sana hatua kwa hatua siku ya majumuisho ya kura pale katani au kwa DED kwa sababu kitakuwa kinatajwa kituo kimoja baada ya kingine na idadi ya kura kwa kila mgombea..

Ikitokea anataja kituo cha kupigia kura ambacho hakiko kwenye orodha uliyonayo wewe iliyotolewa na NEC, moja kwa moja mnamkamata pale pale hadi athibitishe uhalali wa kituo hicho na kwanini hakipo kwenye orodha halali ya NEC..

5. Kila mgombea udiwani au ubunge ahakikishe kuwa kila kituo cha kupigia kura katika kata ama jimbo lake kuna wakala aggressive asiyeyumbishwa. Na ahakikishe kuwa anapata nakala ya fomu ya matokeo ya kura za kituo (udiwani, ubunge na Urais) kama ushahidi..

6. Kila mgombea udiwani na ubunge ahakikishe anazo na anaenda na fomu zote za matokeo ya kura kwa kila kituo siku ya majumuisho ya kura kwa msimamizi wa uchaguzi katani (udiwani) au jimbo (ubunge)..

Kama haya yatazingatiwa, wezi watadhibitiwa na washindi halali wa uchaguzi wa mwaka huu watatangazwa tu..!!
Yule aliyetamani kuwa malaika mkuu Mungu ememfanya kuwa shetani mkuu
 
Akina Nyerere na wenzake wangekuwa na akili kama hiyo, uhuru wa mwanzo toka kwa wakoloni weupe usingepatikana
Nyerere aliwekwa pale kwenye nafasi ya kupigania uhuru na watu waliokuwa makini.
sio wajanja wajanja kama Mbowe na Swahiba wake Mrema.
 
Back
Top Bottom