katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,083
- 5,659
1;Huwezi kumshawishi demu mzuri akupe namba yake ya simu!ukiambiwa tu hapana na wewe unaridhika tu na kutoa mimacho tu!
2;Ukimwona mwanamke mzuri unashindwa kumsalimia unabaki unamponda tu!
3;Kuonga kupita kiasi
4;Kuanza kujisifia kwa mshkaji pindi umwonapo demu mzuri kuwa wewe ulimiliki vitu vikubwa.
N.B: Ukishindwa kumshawishi mwanamke ina maana hata zoezi la biashara kwako litakuwa ni ngumu kwani hata wateja wanahitaji kutongozwa! Nimepatia??