Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Mkuu unaniuliza mimi tena? naona umeniquote mimi? hilo muulize mleta mada ndiye aliyeandika hilo neno,hata heading yake kaandika "kuaca" badala ya "kuacha"
Nime ku quote mkuu kuongezea Yale maneno ambayo uliyaacha , mi nimefanya kuongezea tuMkuu unaniuliza mimi tena? naona umeniquote mimi? hilo muulize mleta mada ndiye aliyeandika hilo neno,hata heading yake kaandika "kuaca" badala ya "kuacha"
Hahahah,,,"Everything you want is on the other side of the fear"
Aliesemaga huu msemo alikuwa na maana kubwa sana, ila alimradi umejitambua kuwa huitaki hio hali, its a very neccessary step towards changing. Jaribu kujichanganya maeneo ambayo utakutana na wasichana wengi. Jitahidi umsalimie msichana na kumuongelesha maneno kadhaa. Unaweza anza kwa kumsifia kidogo akicheka cheka tu omba namba.
Nenda kariakoo, utakuta watoto wazuri kibao anza kuzungumza na wawili kwa siku hata salamu, tu stori mbili tatu jizoeze kuongeza idadi utajikuta una improve siku had siku mwishoni utajikuta ukimtaka manzi haumkosi aisee
Sasa kinshasha madem wa kikongo walivyo warahisi kuwala unaanza kuwaza ? Nenda kariakoo ya kinshasha au hujui kifaransa na lingala
Kifaransa angalau ila iyo lingala bado sana, ila tatizo lingine wenye sura mbaya ni wengi mnoSasa kinshasha madem wa kikongo walivyo warahisi kuwala unaanza kuwaza ? Nenda kariakoo ya kinshasha au hujui kifaransa na lingala
Jaribu kutumia lugha ya viungo, maana ya mdomoni inakushinda....! Nimejitahidi kukusoma, nikajua nikikuelekeza hata utumie ya maandishi bado huwezi, ya mdomoni nayo umekiri mwenyewe, lakini avatar yako inaonesha lugha ya viungo huenda unaiweza....! Kwa hiyo nakushauri uitumie njia hiyo, hope ujumbe utakuwa ukifika vema kabisa...Habari za saa izi wana jamvi, natumai hamjambo, kama inavyo jieleza title siredi mi ni domo zege na nimesha ucoka, kwa hiyo naitaji msaada wa mbinu zakumalizana na ili janga
hizi,tittle,mimi,nahitaji,hili,
Wewe ni domo zege mpaka kwenye uandishi wako!
Kajifundishe kuandika kwanza,kwa uandishi huo hata ukimtumia demu msg lazima akudharau tu.
Unaitumiaje iyo mkuuJaribu kutumia lugha ya viungo, maana ya mdomoni inakushinda....! Nimejitahidi kukusoma, nikajua nikikuelekeza hata utumie ya maandishi bado huwezi, ya mdomoni nayo umekiri mwenyewe, lakini avatar yako inaonesha lugha ya viungo huenda unaiweza....! Kwa hiyo nakushauri uitumie njia hiyo, hope ujumbe utakuwa ukifika vema kabisa...