MNAFU
Member
- Jan 16, 2014
- 99
- 24
Habari zenu wanajamvi.
Hivi karibuni nilinunua kutoka katika Vodashop aina hii ya modem (K3772-Z) lakini kwa bahati mbaya eneo ninaloishi mtandao wa Vodacom hauko vizuri kwenye Internet. Ikiconnect inakimbia kama konokono. Inaonekana Airtel speed yake ni nzuri na kwa hiyo inabidi niifanyie utundu modem hii ili niweze kutumia line ya Airtel.
Ukweli ni kuwa nimetumia siku kadhaa kutandaa huku na huku bila mafanikio. Najua hapa jf ni kiboko ya yote na sipo peke yangu mwenye aina hii ya modem na tatizo hili. Naomba msaada wenu wakuu namna ya kui-unlock/flash aina hii ya modem.
Hivi karibuni nilinunua kutoka katika Vodashop aina hii ya modem (K3772-Z) lakini kwa bahati mbaya eneo ninaloishi mtandao wa Vodacom hauko vizuri kwenye Internet. Ikiconnect inakimbia kama konokono. Inaonekana Airtel speed yake ni nzuri na kwa hiyo inabidi niifanyie utundu modem hii ili niweze kutumia line ya Airtel.
Ukweli ni kuwa nimetumia siku kadhaa kutandaa huku na huku bila mafanikio. Najua hapa jf ni kiboko ya yote na sipo peke yangu mwenye aina hii ya modem na tatizo hili. Naomba msaada wenu wakuu namna ya kui-unlock/flash aina hii ya modem.