Acha janja janja lipa mahari wewe.Kwanini umtumie mtoto wa watu bure?Wakuu naomba mbinu za ku escape hii misala kabla kuingia Vitani
Mahari kwa mwanamke kama boksa kwa mwanaume!!!Wakuu naomba mbinu za ku escape hii misala kabla kuingia Vitani
I will follow this to the TMpige mimba unayetaka kumuoa
Miezi mitatu ya kwanza mpende sana alafu ile mingine mkatie mawasiliano
Anza kujipanga kimya kimya nunua vitu vya ndani khanga na mahitaji yote ya mzazi
Baba yake mzazi na ndugu zake watakuletea mke mpaka unapoishi bure kabisa kwa gjarama zao
Wqkiwa wabishi kumleta mimba ikifikisha miezi 8 tuma wazee wape laki moja