Salaam,
nimefanya kunfiguration manually kwa kujaza sehem zifuatazo kwenye pc lakini inagoma....
1.Access point......
2.Username......
3.Password......
4.Additional initialisation commands.....
Mwenye ufaham anielekeza yanayopaswa kujazwa labda mm nakosea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.