Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,758
Wadau naomba msaada wa namna ya kutumia internet ya simu yangu kwenye PC kupitia wifi ya simu yangu kwani leo kwa mara ya kwanza nilikuwa nataka nitumie internet ya simu yangu kwenye PC kama kawaida nikawasha wifi ya simu yangu pamoja na wifi ya pc yangu sasa ile nataka kukonnect pc yangu ikaniambia kuwa wifi ya simu yangu ni secured na kwa hiyo natakiwa niaccess internet kwa kutumia password ambayo huwa natumia kusecure hiyo wifi ya simu yangu!.....ila tokea ninunue hii simu yangu sijawahi kutengeneza passwaord ya wifi yangu wala sijawahi kuitumia hii wifi!.....Msaada ambao ninaoutaka hapa ni kwa jinsi gani ninaweza kujua default password ya wifi ya simu yangu ambayo huwa inakuja na simu??
Please help me!
Please help me!