avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 7,324
- 12,734
Pamoja na makandokando yake mengine ya kibiashara ila jamaa yupo njema kichwani
1. Anaonekana kasoma shule bora na ni vigumu kuamini kuwa ni mnyamwezi wa hapo Igunga
2.Wakenya walitarajia mkutano ule wangeenda wale wa darasa la saba A wenye hela zao na wapo bungeni ambapo wangekuwa wanasema tuu yes yes
3.Jamaa kadhihirisha Utanzania ni spirit na sio mtu, tunaweza kuvurugana wenyewe ndani ila inapokuja suala la maslahi ya nchi miamba lazima iibuke
4. Kaongea jambo la kweli kabisa na ukiangalia lugha ya picha alikwazwa na labla alizarauliwa au aliombwa chochote kikubwa ndio maana kuna maneno aliya reserve kama mtu mwenye busara
5.Ni kweli mfumo wa kawaida wa maisha ya mkenya ni tofauti kabisa na mfumo wa kawaida wa maisha ya mtanzania. Wakati ni rahisi kwa mkenya kuhamia Tanzania na kujihisi more than home lakini ni Ngumu kabisa social, economically kwa mtanzania kuhamia kenya na ku feel home
6.Kwa mtanzania biashara inayowezekana ni Quid pro Quo (nipe nikupe) halafu mnaachana mpaka muda mwingine tena ila joint venture!!!!!!😀😀😀😀 maweee wagenda
1. Anaonekana kasoma shule bora na ni vigumu kuamini kuwa ni mnyamwezi wa hapo Igunga
2.Wakenya walitarajia mkutano ule wangeenda wale wa darasa la saba A wenye hela zao na wapo bungeni ambapo wangekuwa wanasema tuu yes yes
3.Jamaa kadhihirisha Utanzania ni spirit na sio mtu, tunaweza kuvurugana wenyewe ndani ila inapokuja suala la maslahi ya nchi miamba lazima iibuke
4. Kaongea jambo la kweli kabisa na ukiangalia lugha ya picha alikwazwa na labla alizarauliwa au aliombwa chochote kikubwa ndio maana kuna maneno aliya reserve kama mtu mwenye busara
5.Ni kweli mfumo wa kawaida wa maisha ya mkenya ni tofauti kabisa na mfumo wa kawaida wa maisha ya mtanzania. Wakati ni rahisi kwa mkenya kuhamia Tanzania na kujihisi more than home lakini ni Ngumu kabisa social, economically kwa mtanzania kuhamia kenya na ku feel home
6.Kwa mtanzania biashara inayowezekana ni Quid pro Quo (nipe nikupe) halafu mnaachana mpaka muda mwingine tena ila joint venture!!!!!!😀😀😀😀 maweee wagenda