Namna Rostam Aziz alivyotoa hoja Kenya, ni kielelezo cha utajiri bila maarifa

Pamoja na makandokando yake mengine ya kibiashara ila jamaa yupo njema kichwani

1. Anaonekana kasoma shule bora na ni vigumu kuamini kuwa ni mnyamwezi wa hapo Igunga

2.Wakenya walitarajia mkutano ule wangeenda wale wa darasa la saba A wenye hela zao na wapo bungeni ambapo wangekuwa wanasema tuu yes yes

3.Jamaa kadhihirisha Utanzania ni spirit na sio mtu, tunaweza kuvurugana wenyewe ndani ila inapokuja suala la maslahi ya nchi miamba lazima iibuke

4. Kaongea jambo la kweli kabisa na ukiangalia lugha ya picha alikwazwa na labla alizarauliwa au aliombwa chochote kikubwa ndio maana kuna maneno aliya reserve kama mtu mwenye busara

5.Ni kweli mfumo wa kawaida wa maisha ya mkenya ni tofauti kabisa na mfumo wa kawaida wa maisha ya mtanzania. Wakati ni rahisi kwa mkenya kuhamia Tanzania na kujihisi more than home lakini ni Ngumu kabisa social, economically kwa mtanzania kuhamia kenya na ku feel home

6.Kwa mtanzania biashara inayowezekana ni Quid pro Quo (nipe nikupe) halafu mnaachana mpaka muda mwingine tena ila joint venture!!!!!!😀😀😀😀 maweee wagenda
 
Ninachojiuliza ni kwa nini katika hiyo miaka ya kuzungushwa hakurudi kwa Mheshimiwa Rais? Kwa jinsi alivyoongea ni Kenyatta ndie aliyemuomba awekeze kwa hiyo access alikuwa nayo. Alishindwa nini kumfuata na kumwambia kuwa jamaa zake wanamzungusha? Au tatizo ni Kenyatta mwenyewe?

Amandla...
Siyo rahisi na si heshima kumshambulia rais hasa ugenini. alitumia nafasi aliyoipata kufikisha ujumbe kwa busara.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Siyo rahisi na si heshima kumshambulia rais hasa ugenini. alitumia nafasi aliyoipata kufikisha ujumbe kwa busara.

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Basi asingesema alimuona hadharani. Angesema tu kuwa amekuwa akijaribu kwa miaka kadhaa bila mafanikio. Baadae ndio angeongea nae na Samia faragha na kuwaambia ukweli wote.
Hakutumia busara.

Amandla...
 
Hakuna mhindi hata mmoja ana nia njema na mwafrica hata siku moja ni janja janja tu
M/Mungu ametujalia sisi watu weusi mambo yafatayo- ROHO MBAYA, WIVU NA UHASIDI
Kwahiyo ndugu yangu kuwa POSITIVE katika maisha na achana na mambo ya NEGATIVITY hayana afya katika maisha utafika mbali ktk maisha.
 
M/Mungu ametujalia sisi watu weusi mambo yafatayo- ROHO MBAYA, WIVU NA UHASIDI
Kwahiyo ndugu yangu kuwa POSITIVE katika maisha na achana na mambo ya NEGATIVITY hayana afya katika maisha utafika mbali ktk maisha.
Kwani mkuu nipo karibu sasahivi? Rostam alikuwa mbunge wa Igunga 20 years kaacha nyumba za tembe tupu hakuna shule ya advance hata moja, MO 10years Singida kaawachia nyumba za tembe hana hata nyumba ya kuishi pale alafu ni mbunge wao wa Dar.
 
Jaribuni kuelewa, Rostam anadai walikutana na Mhe. Rais means ilikuwa faragha. Walipeana ahadi ambazo yeye alitaka kuwekeza Kenya kwenye eneo la gas lakini hakupewa hiyo nafasi for years.
Katika busara ndogo alitaka kuwaeleza Wakenya na Watanzania kwamba maelekezo ya Mhe. Rais ayatekelezeki. Lakini pia kwa upande mwingine anataka kufungua macho kwamba hata maelekezo aliyotoa au ahadi alizotoa wakiwa na Mhe,Rais Samia si zakuaminika sana

Hapa ndipo ilipo hoja yangu na hoja ya Wakenya.
 
Eti lilisomwa na Spika Ndungai!Yule Ndugai ni chizi ona alivypora wanawake 19 wa Chadema na kuwafanya wabunge kwa nguvu zake je huoni kuwa Ndugai ni Mpumbavu?
 
Kwani mkuu nipo karibu sasahivi? Rostam alikuwa mbunge wa Igunga 20 years kaacha nyumba za tembe tupu hakuna shule ya advance hata moja, MO 10years Singida kaawachia nyumba za tembe hana hata nyumba ya kuishi pale alafu ni mbunge wao wa Dar.
Wabunge huwa wanajengea watu nyumba🙄🙄.
Kazi zao kama wabunge walitimiza?
 
Kama ameshambuliwa na Wakenya Basi Rostam amesema ukweli...na wewe bill Shaka mume wako ni nyang'au...pole Sana kwa kuolewa na likenya...
 
Hapa ni pale wanasiasa wanapojaribu kuwa wafanyabiashara. Mengi aliyosema watu hawatamwelewa lakini wafanyabiashara wanamwelewa vizuri sana
 
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.

Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.

Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?

Rudi ulipe madeni ya watu.

Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA
Wee ni chizi uliye toroka Mirembe Mental Hospital!!
 
Back
Top Bottom