Namna gani nitapata seatime?

Namna gani nitapata seatime?

El Manamber

New Member
Joined
Jan 29, 2025
Posts
1
Reaction score
1
Habari za muda huu Wana JF , Mimi ni mgeni humu Nina mpango wa kusoma short course za ubaharia pale DMI chuo Cha bahari , changamoto yangu nawaza baada ya mafunzo seatime nitapewa na chuo au nitatafuta mwenyewe?. Mwenye ujuzi anisaidie .
 
Back
Top Bottom