Namna English Medium zinavyoua elimu yetu

Namna English Medium zinavyoua elimu yetu

Tanzania imejaa watu wengi wenye mtazamo kama yako.
1.hamkubali kuwa kenya na uganda wako mbele kielimu
2.hamkubali kuwa hata watumishi wa kitanzania ni wavivu na wezi ndiyo maana makampuni ya nje inapenda kuajiri wakenya na waganda.
3.kama mnaamini kwa dhati kuwa mko sawa kielimu kwa nini msifanye kama european union raia wa east africa waruhusiwe kufanya kazi kokote bila permit?halafu muone hizo degree zenu za tumaini university mtapeleka wapi?wako poor kwa hata grama.
4.hamkubali baba yenu wa taifa alikuta elimu nzuri kutoka ukoloni akavuruga.
5.viongozi wote wa serikali ya tanzania kwa nini watoto wao hawakuwaacha wasome shule ya kawaida kama walikuwa wanaamini kama nyerere?ulikuwa ukienda st constantine na arusha school unakuta watoto wa vigogo wote from nyerere family,karume,sokoine.kama wakina namelo sokoine,amina na halima karume,kevin na matare nyerere.
6.Tanzania hamna tabia ya kusoma ni porojo nyingi ukipanda basi au treni nchi zenye tabia ya kusoma utakuta abiria karibu wote na vitabu wanasoma,tanzania porojo njia yote.
7.raia wenye uwezo wengi watoto wao wanasoma kenya au uganda na hao ndiyo wako kwenye uhalisia (reality)
8.hizo shule zenu za serikali ya waalimu waliofeli ndiyo inauwa elimu ambayo ina wanafunzi asilimia 95 nchini
Mimi ni Mtanzania halisi lakini nakubaliana na wewe ndugu yangu huku kwetu watu wanapenda sana vyama vya siasa. Nenda kwenye forum ya Siasa uone utitiri wa thread zinazozungungumzia jambo moja kila mtu kaanzisha yake apate comments nyingi. Rudi kwenye jukwaa la elimu, biashara, sayansi uozo mtupu. Mimi naona wivu kuona vijana wa Kenya hususani wanapiga hatua na kutuacha masafa ya mbali kwenye maendeleo hasa linapokuja suala la teknolojia. Kilimo cha kisasa, Biashara za kimataifa, sikuambii ICT na kila kitu ukiacha wanawake warembo. Tuchukueni hatua watanzania. tusipokubali kama wenzetu wanatuacha tutazidi kuburuzwa manake tutashindwa kuwaiga mazuri yao. Cha ajabu baada ya kucompete nao kimaendeleo sisi tunakalia majungu tu. Ikianzishwa thread kama hii yenye ndani yake kuwaponda wakenya ambao ndio hasa target utaona watanzania wanafurahi kiroho safi na comment kibao za kejeli na kujilinganisha nao. Aisee!!! Hii haitatusaidia. Mimi ni muislamu siizingatii sana hii mipaka ya wakoloni inayotujengea chuki. Wakenya ni ndugu zetu wa karibu sana tuwaigeni kwa yale mazuri yao lakini ukweli utabaki palepale. wako mbali. Big-up mtoa comment.
 
Jamani msiwe too general ..mleta Uzi haujafanya research ya unachokiongea na hauna haki ya kuweka shule za medium katika kapu moja...though kuna baadhi ya shule wanaiba mitihani ila so zote..
Kafanye research yako na utuambie sample yako ilikuwaje.
.

Unataka research hipi tena ? Hivi vitu naviongelea through experience. Na hakuna mahali nimesema zote ila asilimia zaidi ya tisini zinafanya haya...Tatizo la hapa ndio tatizo tunalopata walimu mashuleni, mzazi anachotaka ni matokeo tu na yakiwa mazuri hatojisumbua kwa nini mazuri yeye kwake ni sherehe ila yakiwa mabaya ni lawama na kumwamisha mtoto haraka bila kuelewa hivi vitu. Mengine mnayataka wenyewe.
 
acha kupanic brother. Mtoa mada hajasema shule zote, amesema some of .... English medium schools

St Francis, Marian, Feza and the like
ni English medium schools? Nisaidie

Aisee tatizo linaanzia kwa wazazi ,wengi hawaelewi vitu vingi ila ni wakali sana wakiambiwa ukweli ni kama wanazalilishwa.
 
Back
Top Bottom