Unatetea tuu.Ni kweli huyo kijana mfuta tattoo alifanya kosa kama hii story ni ya kweli, ila kijana alitakiwa kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa mujibu wa sheria ili ahukumiwe kwa mujibu wa sheria,
Vyombo husika vitumie hii tetesi kwenye huu uzi,kufuatilia huyo kijana mfuta tattoo yuko wapi na nini kilimpata,
Kosa moja halihalalishi kosa lingine.
Mi video ninayoJamani naona PM zimekuwa nyingi, sina video na wala siwezi kumtumia yeyote vilevile sihitaji kutumiwa.
Nyie wenyewe hapo nimewaambia hatujui kilichomkuta kijana mimi mnanitakia nini?
Yah ! The best Singer hakuna kitu napenda kumuona binti anatoka mtaani na kutoboa huku akisimamia ndoto zake . na sio kuendekeza umalaya Kama hawa Bongo Movies Kuku wa kienyejiDactar mpaka zuchu unamjua...
Okay, niambie huo usmart wa Zuchu ni upi?Lazima mjifunze kwa watu waliofanikiwa ambao wameonesha kwa vitendo unaweza usiwe malaya na ukafanikiwa kimaisha.
Beyonce amedate na Jay z akiwa na 18 yrs mpaka sasa yupo around 40+
The same zuchu she is very smart ,intelligent and visionary.
Irene uwoya sasa anajiita Mama Mchungaji MTU ambaye ametumia robo tatu ya maisha yake katika umalaya. Na anataka na sadaka.
Safi sana..Yah ! The best Singer hakuna kitu napenda kumuona binti anatoka mtaani na kutoboa huku akisimamia ndoto zake . na sio kuendekeza umalaya Kama hawa Bongo Movies Kuku wa kienyeji
Mi dada angu awe na diamond alafu nikatae..Okay, niambie huo usmart wa Zuchu ni upi?
Kudhalilishwa kila siku na Diamond? Ungependa dada yako au binti yako aje kuwa na mwanaume wa aina ya aliyekuwa naye Zuchu?
Okay, niambie huo usmart wa Zuchu ni upi?
Kudhalilishwa kila siku na Diamond? Ungependa dada yako au binti yako aje kuwa na mwanaume wa aina ya aliyekuwa naye Zuchu?
Never judge people by their past,People learn,Irene uwoya sasa anajiita Mama Mchungaji MTU ambaye ametumia robo tatu ya maisha yake katika umalaya. Na anataka na sadaka.
Zuchu hajatoka mtaani Mkuu, ni mtoto wa familia kubwa ya muziki.Yah ! The best Singer hakuna kitu napenda kumuona binti anatoka mtaani na kutoboa huku akisimamia ndoto zake . na sio kuendekeza umalaya Kama hawa Bongo Movies Kuku wa kienyeji
Umalaya haulipi na biashara kichaa watu waliofanya umalaya Kama Kazi ndo hao sasa soko limeshuka MTU anaokoka ili atangaze injili .Safi sana..
Hiyo nzuri mkuu
Mambo muhimu unaandika kimasihara,halafu mtu akitekwa,ndio nyie hua mnapiga kelele kua,kama kakosea kwanini asifikishwe Mahakamani? kila mtu akijichukulia sheria mkononi,hii Dunia itakalika kweli?Unatetea tuu.
Kuna kitu nikwambie mkuu mambo ya sheria hayo bana aaaaaaahg jau jau tuu..
Sasa hvi ni body to body
Live to live
Ndo mana mimi mara nyingi nikizinguana na mtu humu, namtafuta nampa location tunakutana kama kuzichapa tunazichapa live ili heshima iwepo..
Mambo ya sheria end of day attention inakua kubwa alafu wananchi wanajawa na huruma
Ahahahha sheenzi kabisa waje niwape za usoWala siitaki 🤣
Ngoja uone watakavyojaa huko PM uwatumie.
Kwani haiingii?Hivi mwanamke akiwa kalala usigizi kama kafa, utamu wake si unakuwa kama hakuna kitu, maana hajielewe, hii ni sawa na kulala na maiti, huu ni ubakaji mbaya sana
You’re definitely on the wrong page, hii ni page ya udaku if you don’t fit in zipo pages za kilimo na ufugaji pamoja na nyinginezo dull pages so to say.Ukishayaleta hapa utanufaika na nini? Acha kuumiza watu mkuu pia jitahidi kuachana na maisha ya watu.
We si ulifunga swaumu wakati wa Ramadhani? Dini hairuhusu haya ufanyayo.
Mazingira ya zuchu ni Kuku wa kienyeji na kaka yake akiharibiwa mapema RIP.Zuchu hajatoka mtaani Mkuu, ni mtoto wa familia kubwa ya muziki.
Kuna asiyeijua familia ya Kopa?
Mkuu sikatai sawa ila kabla ya kufikishwa mahakamani lazima apate dozi kwanza mkuu...Mambo muhimu unaandika kimasihara,halafu mtu akitekwa,ndio nyie hua mnapiga kelele kua,kama kakosea kwanini asifikishwe Mahakamani? kila mtu akijichukulia sheria mkononi,hii Dunia itakalika kweli?
Kumbe yule alikuwa yeye? Basi kitandani hamna kitu pale