Ing'ang'a
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,866
- 1,279
Yeah Lodge na Zenye Ulinzi WA uhakika.Na maeneo ya malazi yapo karibu na hapo mkuu!
Yeah Lodge na Zenye Ulinzi WA uhakika.Na maeneo ya malazi yapo karibu na hapo mkuu!
Yapo kaka....Afrilax hotel ipo hapo jirani...ukitema mate toka hotelin yanafika hapo mwigoberoNa maeneo ya malazi yapo karibu na hapo mkuu!
UmetishaYapo kaka....Afrilax hotel ipo hapo jirani...ukitema mate toka hotelin yanafika hapo mwigobero
Usijali Watz sote Ni Ndugu Karibu Sana.Khasante kaka usinichoke nikiwa na swali lolote nitakuuliza samani kwa usumbufu
Ahsante Sana, Karibu.safi sana mdau kwa mchanganuo wako kama vijana wote wakitanzania tukiacha unafiki na ubinafsi basi tutafika mbali sana thanks alot brother
asante sana mdauAhsante Sana, Karibu.
Tunashukuru kaka, kunachangamoto uliyoitaja kuhusu uchawi sada sijui sisi tuliokuwa weupe unatushauri nini?
duh kwa kijana mwislamu hapo ndo pagumu...yani kila biashara ina changamoto hio
Uislam na Uchawi mbali mbali eti!!?duh kwa kijana mwislamu hapo ndo pagumu...yani kila biashara ina changamoto hio
Uislam na Uchawi mbali mbali eti!!?
Ahsante Sana Sister Karibu.Am so interested kaka yangu please nikiwa tayari tutawasiliana aisehh!! Nimeshachukua tayari namba zako mkuu!! Ubarikiwe kwa kuleta uzi wenye akili aisehh!
Wasubiria nini Rafiki?Kaka twasubiriii
Hyo bei ni ya ujazo gan au kilo ngap za dagaaTsh.18000-15000
Dumu moja Tu lenye kilo 5- Mpk 6Hyo bei ni ya ujazo gan au kilo ngap za dagaa