Namkubali sana Qashy Lilith

Namkubali sana Qashy Lilith

Nkaburu na Qashy Lilith
1728638487687.jpg
 
Haya majibu ungeyatoa kwenye uzi wako ili watu wakupopoe vizuri ila uliishia kuukimbia
Mimi niukimbie uzi? Hebu nitag nije kwenye uzi. Kuna vitoto vingine vipo mle vinanuka mkojo na maziwa nianze kuvijibu hivyo kweli? Hapana. Mi najibizana na watu wakubwa wenye akili na elimu. Mimi kama kupopolewa labda mtu anipopoe kwa risasi au mabomu....😁
 
Haya majibu ungeyatoa kwenye uzi wako ili watu wakupopoe vizuri ila uliishia kuukimbia
We nitafute siku nije sehemu tukae nikupe stories kibao za kitaa na ughaibuni....utaniambia tu unataka zipi. Uta enjoy sana.na mimi wala sina makuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom