Namhurumia yeyote atakayesimama kugombea urais na Magufuli 2020

Soma historia ya Dubai. Ilikuwa na hali mbaya kuliko ya kwetu lakini mabadiliko makubwa sana yalitokea ndani ya miaka 15. Na katika hiyo miaka 15, kila mwaka, kuanzia mwaka wa kwanza kulikuwa na miradi mikubwa yenye impact kubwa iliyofanyika.

Uchumi wa Tanzania bado ni mdogo sana. Hata ukizuia wizi kwa 100%, mapato yote yakusanywe kwa usahihi, bado itaendelea kuwa maskini. Mkazo mkubwa ungeelekezwa kwenye uwekezaji na uzalishaji. Hakuna nchi ambayo hakuna wizi. JPM hata afanye nini hawezi kuufuta wizi moja kwa moja. Hilo ni zoezi endelevu, huwezi kusema nimalize kwanza wizi ndiyo nianze kushugulika na sera za sustainable development. Vitu vingi anavyoshughulika navyo vinahitaji process endelevu lakini yeye anafanya kama vile vinahitaji jitihada zenye ukomo.

JPM hawezi kuifanya Tanzania iwe imeendelea kwa kulala na kuamka bali tunatakiwa tuone kila mwaka tunapiga hatua toka wapi kwenda wapi.

Uwekezaji umeongezeka toka kiasi gani mpaka kiasi gani? Lakini chini ya utawala wake uwekezaji umeanguka toka 26.8% mpaka kufikia 3.8%.

Unemployment imepungua toka ngapi mpaka ngapi? Taarifa zilizopo ni kuwa unemployment imeongezeka.

Exports zimeongezeka toka ngapi hadi ngapi? Nazo kwa taarifa za BOT zimeshuka.

Performance ya sekta moja moja za uchumi na huduma, zimekua kutoka wapi mpaka wapi? Taarifa za BOT zinaonesha kila sekta imedondoka katika volume au katika ukuaji.

Kama katika vigezo vyote vya upimaji wa maendeleo, tunaenda chini, ni muujiza gani utakaotokea ili baada ya miaka 5 au 10 ya JPM tushtukie tuna maendeleo? JPM kama anataka kutoa mchango wa maendeleo kwa Taifa hili aache siasa za umaarufu, afanye kazi kwa kiwango kikubwa cha kutumia akili. Dunia ya leo, maendeleo hupatikana kwa werevu, siyo kwenye majukwaa ya mikutano, hizo ni siasa za zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea sahihi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapo wenye nguvu ya siasa wataalam wa kuchafua hali ya hewa ya siasa. Kupitia hayo unayoyaita mafanikio ndiyo wachafuzi wanafanyia mazoezi ya kuchafua. Usimchezee Mtazania bwana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nisiwe mnafki,kwa mtazamo tuu ambao ni non aligned,..magu hata akisema asizunguke kupiga kampeni 2020,akae tuu aendelee na kaz,atapita kwa 80%.

Sabab wanaomkubal magu ni hii asilimia 80 ambao ndio wa tz maskin, 10% ambao wanajitahid na wenye elim hawamkubal magu, mi natembea mikoan huko na vijijn naona,hata vijiwen mijin,..i see it..n

Kumbuka skuzote maskin humwombea njaa tajir,so hali zilivobadilika za wenye nacho,maskin kwao ni furaha,so hawa maskin ndo wanaijenga hii 80% kataa kubali.
Hao masikini maisha yao yameboreka kwa matajiri kumasikinishwa?
 
Eddo keshatangaza siku nyingi, anza kumhurumia.

Upinzani utakuwa umefanya kosa kumrudisha huyo unayemsema kusimama na Dr.Magufuli.Hamuwezi hata kidogo.Kuna mmmoja tu huko upinzani ndiye anaweza kumsumbua Magufuli.Hatoshinda Urais lakini akasomba viti vingi vya ubunge,ana uwezo wa kushawishi wapigra kura jukwaani!
 
Soma historia ya Dubai. Ilikuwa na hali mbaya kuliko ya kwetu lakini mabadiliko makubwa sana yalitokea ndani ya miaka 15. Na katika hiyo miaka 15, kila mwaka, kuanzia mwaka wa kwanza kulikuwa na miradi mikubwa yenye impact kubwa iliyofanyika.

Uchumi wa Tanzania bado ni mdogo sana. Hata ukizuia wizi kwa 100%, mapato yote yakusanywe kwa usahihi, bado itaendelea kuwa maskini. Mkazo mkubwa ungeelekezwa kwenye uwekezaji na uzalishaji. Hakuna nchi ambayo hakuna wizi. JPM hata afanye nini hawezi kuufuta wizi moja kwa moja. Hilo ni zoezi endelevu, huwezi kusema nimalize kwanza wizi ndiyo nianze kushugulika na sera za sustainable development. Vitu vingi anavyoshughulika navyo vinahitaji process endelevu lakini yeye anafanya kama vile vinahitaji jitihada zenye ukomo.

JPM hawezi kuifanya Tanzania iwe imeendelea kwa kulala na kuamka bali tunatakiwa tuone kila mwaka tunapiga hatua toka wapi kwenda wapi.

Uwekezaji umeongezeka toka kiasi gani mpaka kiasi gani? Lakini chini ya utawala wake uwekezaji umeanguka toka 26.8% mpaka kufikia 3.8%.

Unemployment imepungua toka ngapi mpaka ngapi? Taarifa zilizopo ni kuwa unemployment imeongezeka.

Exports zimeongezeka toka ngapi hadi ngapi? Nazo kwa taarifa za BOT zimeshuka.

Performance ya sekta moja moja za uchumi na huduma, zimekua kutoka wapi mpaka wapi? Taarifa za BOT zinaonesha kila sekta imedondoka katika volume au katika ukuaji.

Kama katika vigezo vyote vya upimaji wa maendeleo, tunaenda chini, ni muujiza gani utakaotokea ili baada ya miaka 5 au 10 ya JPM tushtukie tuna maendeleo? JPM kama anataka kutoa mchango wa maendeleo kwa Taifa hili aache siasa za umaarufu, afanye kazi kwa kiwango kikubwa cha kutumia akili. Dunia ya leo, maendeleo hupatikana kwa werevu, siyo kwenye majukwaa ya mikutano, hizo ni siasa za zamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikweli,ila kutolea mfano dubai umekosea,..UAE,ni kitovu cha biashara ya mafuta ambayo kwa karne hyo na miaka ile mafuta ndio yalikua hot cake dunian,na wazungu walikimbilia kule kuwekeza,..anyways unaeza kua right,ila amini kwamba bila mfumo kurekebishwa,ni sawa na kutwanga maj kwenye kinu,.wew huwajui wa tz vzur nin,hiv unawezaje kuwaachia mirad mikubwa waswahili?unataka upoteze pesa,..ndomana yeye anawatia discipline kwanza ya werevu ndo hyo mirad ifanyike,..its not easy bro kuendesha nchi iliyooza kama hii,kila kona watu ni wezi,..mirad midogo tuu watu wanaiba,sasa unafanyaje?.haya ananunua ndege,watu mnahoji,anarekebisha mikataba ya madin watu mnahoji,anatimua mafisad watu mnahoji,..mnataka afanye nin labda,heb nielekeze
 
Ajabu ya Watanzania utakuta familia yako haina chumvi wamekopa dukani, maji mkeo amepanga ndoo kwenye visima vya mtaani tangu asubuhi, mahindi unayo lakini msichana anayasubiria mashine tangu asubuhi kisa umeme umekatika bado jasho linalokutoka unaelekea nyumbani kwa miguu unajifanya ni mazoezi unafanya kumbe huna nauli. Hayo yote ni vigumu kuyaona katika uhalisia wake kwa kuwa umepofushwa na siasa za ujenzi zisizokusaidia wewe kiumbe wa chini. Umeleweshwa tu na kelele za kamata huyu, kamata yule, waite wale, waite hawa, leta pesa hii, leta pesa ile, unaamini siku moja utagawiwa pesa na huyo aliyekudanganya umsifie. Kwa taarifa yako hakuna mabadiliko chanya Tanzania chini ya ccm ndugu yangu. Sarakasi zooooooote unazoziona ni mbinu zile zile za kula na kipofu. Bakia hapo hapo....
waache kwanza....bado wamelala wakiamka wataelewa.
 
Ukitaka ugonvi na watanzania walio wengi jifanye unamkubali Sizonje, hahahah unaweza hamishwa mtaa, mimi naamini kuna kosa Tz ilitenda kwa Muunba ndiyo mana katupa huyu ili atuhadhibu. So ndgu zangu tuko katika kipindi cha malipizi na 2020 Mungu aweza kutupa msamaha
 
Back
Top Bottom