huna haya unajitekenya na kucheka mwenyewe,kwa taarifa hata saa 3 asubuhi hafiki atakanyagwa mbaliKwa jinsi anavyopiga kazi lazima mtu aambulie aibu. Mwaka mmoja na nusu wa utawala ameishangaza dunia utadhani ametawala miaka 20. Hongera sana rais wetu. Tulitaka rais wa aina hii.
Hakuna matokeo chanya ya anachokifanya kwa maisha ya wananchi wa kawaida. Ana dhamira nzuri lakini hana mbinu sahihi. Wakati wote kinachotazamwa ni matokeo, siyo unachokifanya.Naomba kuuliza swali......,kwanin watu wasimchague jpm?..naomba majibu
Hakuna matokeo chanya ya anachokifanya kwa maisha ya wananchi wa kawaida. Ana dhamira nzuri lakini hana mbinu sahihi. Wakati wote kinachotazamwa ni matokeo, siyo unachokifanya.
Uchumi ni sayansi ambayo wale tu walio werevu hufanikiwa. Uchumi haujengwi kwa kuongea sana kwenye majukwaa au kwenye TV bali hutegemea zaidi mipango na mbinu sahihi ambazo huwezi kuzipata kwenye majukwaa ya mikutano.
JPM ni Rais, anatakiwa kuleta matokeo lakini anafanya kazi kama mtu anayezunguka kutafuta kura. Anatafuta short term simple popularity badala ya kutafuta sustainable popularity.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli tunaona alivyoshughulikia sukari hadi saivi tunanunua kwa bei nafuu kabisa, vijijini kwetu ameshamwaga milioni hamsini alizoahidi pia tusisahau alivyofuta kodi na maushuru mbalimbali kama alivyoahidi wakati wa kampeni. Itakumbukwa pia ameimarisha demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari, deni la taifa ni kama limeisha kabisa huku wananchi wakiwa na unafuu mkubwa wa maisha. Tumpongeze!!!!Kwa jinsi anavyopiga kazi lazima mtu aambulie aibu. Mwaka mmoja na nusu wa utawala ameishangaza dunia utadhani ametawala miaka 20. Hongera sana rais wetu. Tulitaka rais wa aina hii.
Umeongea maneno mazuri sana mkuuYaani hata miaka 5 haijaisha mshaanza kuwaza uchaguzi, ni sawa na mtoto anayekula chakula, sahani hata haijafika nusu anaanza kuwaza chakula cha jioni... Ulafi na uchu wa madaraka! Wekeni tume huru tuone.
Mkuu kazi moja ya kushangaza ni kuidai ACACIA $190b. Hiyo ilishangaza dunia. Ya pili ni kujenga uwanja wa ndege Chato hiyo hata shetani alishangaa. Niendelee?
Siwalaumu mnaomilikiwa na ccmkamata mwizi meen. Wewe ni mwizi ndio mana unatoa povu hapa
Kama jibu hulijui basi sijui niseme uko sayari ganiNaomba kuuliza swali....na nnaomba majib yenye akil,sio bla blaa,...."kwanin watu wasimchague magufuli 2020"..ni ubaya gan haswa aliofanya asistahili kuchaguliwa.
Usimsahau Rutashubanyuma sijui kama sikosei nae anapambana kumsifu Sizonje.
pole. La gizani limekupataPunguza unaa ridhiki mafungu saba!!!
Mwenyekiti wa chama chake atabadilisha gia angani unless if he will be able to cough some 30 billions this time, not 10 billions like that time in 2015!Eddo keshatangaza siku nyingi, anza kumhurumia.
Soma historia ya Dubai. Ilikuwa na hali mbaya kuliko ya kwetu lakini mabadiliko makubwa sana yalitokea ndani ya miaka 15. Na katika hiyo miaka 15, kila mwaka, kuanzia mwaka wa kwanza kulikuwa na miradi mikubwa yenye impact kubwa iliyofanyika.Uko wrong bro,..nchii hii ilikua imeoza,ilikua haitekelezek,budget kubwa makusanyo hafifu,ufisad kila kona,kuanzia mwalim wa shule ya msingi had raisi..for 50yrs,.hiv unabadilishaje mambo mazito ambayo yatamfikia had mtu wa kijijin maskin in a short period?
ulitaka awajaze watu pesa mifukon kwa kaz gan hasa tunazofanya wa tz?production ni poor,no export,utalii poor,madini sheria za hovyo kabsa,siasa ni vijembe,matusi etc,maofisin ni business as usual,watu hawafany kaz ni mazoea tuu,.labda kidogo sekta binafsi inajitahid.
sasa pesa extra unaitoa wap ya kuwajaza watu mifukon,akat nchi yako kikubwa inachofanya ni shugul za kutoa service tuu na hakuna production wala exportation ya goods,bandari uozo mtup,ufisad kila siku tunaona,umeme huko ma escrow,na bdo nchi haina afya nzur,dawa hakuna etc,maisha duni,hiv unarekebishaje nchi kwa mda mfup haya yote,tusiongee tuu kwa jazba tuseme ukwel